Hata route match tulipiga mayowe ya kufa MTU. Kutoka Makutopora hadi Dodoma jamhuri na kurudi. Nyingine tukapiga kule uwanja Wa ndege. Kupita mzakwe.
Shikamoo Jkt. B coy. 1986/7
Vijana wa mujibu mnatusumbua na ujinga wenu watu wamepiga kazi Ngerengere ila huwez kuta wanajadili mambo ya depot mitandaon, ila nyie miez mitatu tu mnasumbua kama vile ndo waasisi wa jeshi