Nimemfumania mpenzi wangu naomba ushauri

Nimemfumania mpenzi wangu naomba ushauri

Eti ......mimba ni kwangu......... lione
ni nani kakuambia kuwa ni ya kwako?

Alikuwa anasema maneno gani hayo ya kimahaba
najua utakuwa umeyakariri tu.
 
He! hii ni hadithi au...?
yani unamfumania thena unamsalimia kisha unakimbia nyumbani ili uipost
JF....! Kweli wewe hamnazo....!

Mm nnampongeza kwa kuweza ku control hacra zake kwa mtu mwngne angekuwa anatafutwa na polis au yupo polisi, unapaswa kufkir kwanza kabla ya kutenda
 
mpenzi wangu ni nesi, aliniaga anakwenda semina ya kikazi, tangu juzi jana nikapigiwa simu na jamaa kuwa mpenz wang kaonekana nyumba flani ambapo wanaishi watu mbalimbali, na jamaa alinijuza kuwa alikuwa anagegedwa na alikuwa anapiga yowe hadi kero kwa majirani,
nilimuliza mpenz wang akakataa katu na kuapa kwa mungu na kunikaripia vikali kwa kusikiliza maneno ya watu. nilidhan n ukweli jins alivyokuwa siriaz kujitetea na kulia kwa uchungu.
leo jamaa kaniita kanambia njoo shuhudia mwenyewe nmeenda nikabana geto kwa mskaji huku nikisikilizia milio ya mahaba kutoka chumba jiran kwa kuwa nyumba haina silng body. gafla mlango wa kile chumba ulifunguliwa na wakatoka nje kuelekea msalani.. na mimi nikatoka nikasimama mlangon waliporudi alistuka then nikawasalimia then nikaondoka..
nmekuja mbio had nyumban natetemeka mwili mzima sijui cha kufanya. jamaa alieko nae simfaham ila nmemchek namweza kabisa. mpenz wang ana ujauzito wa miez 2 wa kwang. NISHAURINI TAFADHALI
Haya bwana!
 
Hapa tu nimekupendea, itabidi nikutafute leo leo mzee mwenzangu!
Eti ......mimba ni kwangu......... lione
ni nani kakuambia kuwa ni ya kwako?

Alikuwa anasema maneno gani hayo ya kimahaba
najua utakuwa umeyakariri tu.
 
Pole sana ndugu, wewe cha msingi umeshamgundua tena kwa fumanizi kama hiyo fanya jinsi moyo wako unavyokutuma.
 
Kwakuwa ni mpenzi tu achana nae vinginevyo utaua mtu ambae hata hujamtoleo mahari
 
ujauzito miezi miwili unadai ni wako wakati hayuko kwako.....hata hivyo pole.

Lakini nikupe pongezi...Mimi na manesi ni mbali mbali tangu siku moja usiku miaka ya nyuma nilipokwenda hosp moja kubwa mji wa makao makuu ya bunge na ccm, nikakuta nesi na dr wamelazana kwenye meza...niliapa kutoshawishika kuoa nesi let alone kutongoza.

Ogopa mtu anayefanya kazi na shift za usiku!
 
Tuta amini vipi kama habari hii ni ya kweli?Kwa ilivyo MMU siku hizi ni.ngumu kuamini habari hapa!
Hawa waongo wametuvuruga sana humu lol
 
Licha ya lugha ya kifacebook uliyotumia hii story haina chembe ya ukweli ! Kiuhalisia usingekuwa na nguvu ya kusimulia kwasasa

yeah! Sahihi kabisa huu ni uwongo. Jinsi anavyoongea utagundua kuwa ni uwongo kabisa. Lakn kwann utulete uongo?
 
Tuta amini vipi kama habari hii ni ya kweli?Kwa ilivyo MMU siku hizi ni.ngumu kuamini habari hapa!
Hawa waongo wametuvuruga sana humu lol

fijo kikolo ntunguru undumyana uju. Ikutusyobha twe bhakusi fijo bunobhuno. Alinamatingo fijo unjanga uju
 
fijo kikolo ntunguru undumyana uju. Ikutusyobha twe bhakusi fijo bunobhuno. Alinamatingo fijo unjanga uju

Akana haka kakana amahala!Kikuitufya kubomba imbibhi ehehehehe!
Kajanga kikofuma mo mbwani;bhale na amalaja fijo ehehehehe
 
una uhakika iyo mimba aliyonayo ni ya kwako???
 
tuliza moyo kabisa
huyo jamaa humjui ..hata kama unamuweza so what?
what if mpenzi wako alisema yuko single?

wewe tuliza moyo kwanza....kunywa maji jipe muda utajua cha kufanya.....kwa sasa ondoka hapo nyumbani nenda katafute time ya kufikiri utajua tu..... kupigana baaaada ya kumfumania mpenzi ni kujidhalilisha zaidi....

Yan mkuu we ni muungwana sana hapa jf
 
Back
Top Bottom