Nimemfumania mpenzi wangu naomba ushauri

Nimemfumania mpenzi wangu naomba ushauri

ulishabugi men....ulitakiwa pale pale unaingia nae ndani kwa jamaa alafu mnamgegeda kwa pamoja. yeye papuchi wewe tigo.

Heee makubwa....na waswas ushawah gegedwa nyuma mkuu
 
Mpenzi wako anapenda nyumba ambazo bafu liko nje, nakushauri uhame nyumba ya self ili afurahi. Kingine muda ule uliomkuta ndio anaopenda kukutana na wanaume na wewe badilisha masaa
 
UJA UZITO WAKWAKO UMEUPIMA? ACHA UJINGA, UNALIWA WEWE ....


QUOTE=kababaa1;10073387]Mpenzi wangu ni nesi, aliniaga anakwenda semina ya kikazi, tangu juzi jana nikapigiwa simu na jamaa kuwa mpenzi wangu kaonekana nyumba flani ambapo wanaishi watu mbalimbali, na jamaa alinijuza kuwa alikua akinisaliti.

Nilimuliza mpenzi wangu akakataa katu na kuapa kwa mungu na kunikaripia vikali kwa kusikiliza maneno ya watu. nilidhani ni ukweli jinsi alivyokuwa serious kujitetea na kulia kwa uchungu.

Leo jamaa kaniita kanambia njoo shuhudia mwenyewe, nimeenda nikakaa nyumbani kwa jamaa huku nikisikilizia sauti zilizokuwa zinatoka chumba jirani kwa kuwa nyumba haina sing body.

Gafla mlango wa kile chumba ulifunguliwa na wakatoka nje kuelekea msalani, na mimi nikatoka nikasimama mlangoni waliporudi alistuka na sikufanya lolote.

Nimekuja mbio hadi nyumbani natetemeka mwili mzima sijui cha kufanya. Jamaa aliye nae simfahamu ila nimeona namweza kabisa. Mpenzi wangu ana ujauzito wa mieiz 2 wa kwangu.

NISHAURINI TAFADHALI[/QUOTE]
 
labda anapenda jasho la mchepuko. au nanihii za mchepuko zina ladha ya vymbi vumbi hivi.

tunatafuta solusheni ya pamoja bwana
Hahaaaa!!!!
Blame it all to Mimba!!!!!!
Hormones zimemtuma kuchepuka!
 
wana MMU jaman hii si hadithi ndugu zangu n ukweli mtupu mi siwez kupoteza mda wangu kuleta uzi wa uongo hapa jamani...yamenitoke jana usiku 00:15.
wana MMU tuwe watu wa kushauri na si kukashifu.
nashukuru kwa waliotoa ushauri wa busara ila weng hawaamin kama n kwel. m c mtu wa maamuz mkonon huwa nafikiri sana kabla ya maamuzi hlo nmejaaliwa kwa kweli.
 
wana MMU jaman hii si hadithi ndugu zangu n ukweli mtupu mi siwez kupoteza mda wangu kuleta uzi wa uongo hapa jamani...yamenitoke jana usiku 00:15.
wana MMU tuwe watu wa kushauri na si kukashifu.
nashukuru kwa waliotoa ushauri wa busara ila weng hawaamin kama n kwel. m c mtu wa maamuz mkonon huwa nafikiri sana kabla ya maamuzi hlo nmejaaliwa kwa kweli.

Baada ya kulia, kusikitika, kuumia,kukosa usingizi, kujaa na kusumbuliwa na mawazo, kukumbukua kale kamlio alichokuwa anatoa alipokuwa analiwa..:confused3:. Mwisho wa usiku utabidi usonge mbele bila huyo dada.
 
Mpenzi wangu ni nesi, aliniaga anakwenda semina ya kikazi, tangu juzi jana nikapigiwa simu na jamaa kuwa mpenzi wangu kaonekana nyumba flani ambapo wanaishi watu mbalimbali, na jamaa alinijuza kuwa alikua akinisaliti.

Nilimuliza mpenzi wangu akakataa katu na kuapa kwa mungu na kunikaripia vikali kwa kusikiliza maneno ya watu. nilidhani ni ukweli jinsi alivyokuwa serious kujitetea na kulia kwa uchungu.

Leo jamaa kaniita kanambia njoo shuhudia mwenyewe, nimeenda nikakaa nyumbani kwa jamaa huku nikisikilizia sauti zilizokuwa zinatoka chumba jirani kwa kuwa nyumba haina sing body.

Gafla mlango wa kile chumba ulifunguliwa na wakatoka nje kuelekea msalani, na mimi nikatoka nikasimama mlangoni waliporudi alistuka na sikufanya lolote.

Nimekuja mbio hadi nyumbani natetemeka mwili mzima sijui cha kufanya. Jamaa aliye nae simfahamu ila nimeona namweza kabisa. Mpenzi wangu ana ujauzito wa mieiz 2 wa kwangu.

NISHAURINI TAFADHALI

mimi nashangaa matukio kama haya unaomba ushauri kweli..!!!!?????
 
Ha ha ha ha ha...kwa akili yako wewe lazima tu upigiwe na wenzio...eti mimba ni yako???? una uhakika?

Mwanaume unakuwa ka sijui vipi...

eti ukakimbia home kuja kupost JF.......
 
Mpenzi wangu ni nesi, aliniaga anakwenda semina ya kikazi, tangu juzi jana nikapigiwa simu na jamaa kuwa mpenzi wangu kaonekana nyumba flani ambapo wanaishi watu mbalimbali, na jamaa alinijuza kuwa alikua akinisaliti.

Nilimuliza mpenzi wangu akakataa katu na kuapa kwa mungu na kunikaripia vikali kwa kusikiliza maneno ya watu. nilidhani ni ukweli jinsi alivyokuwa serious kujitetea na kulia kwa uchungu.

Leo jamaa kaniita kanambia njoo shuhudia mwenyewe, nimeenda nikakaa nyumbani kwa jamaa huku nikisikilizia sauti zilizokuwa zinatoka chumba jirani kwa kuwa nyumba haina sing body.

Gafla mlango wa kile chumba ulifunguliwa na wakatoka nje kuelekea msalani, na mimi nikatoka nikasimama mlangoni waliporudi alistuka na sikufanya lolote.

Nimekuja mbio hadi nyumbani natetemeka mwili mzima sijui cha kufanya. Jamaa aliye nae simfahamu ila nimeona namweza kabisa. Mpenzi wangu ana ujauzito wa mieiz 2 wa kwangu.

NISHAURINI TAFADHALI

Achana nae au umsamehe muanze upya.
 
hiyo mimba ni yako kweli?....busara zako ndizo zitakuweka sawa...Kunywa maji glas 2....then mwambie aje kuchukua nguo zake....elewa hakuwa mkeo....muhimu epuka ngono zembe.
 
He! hii ni hadithi au...? yani unamfumania thena unamsalimia kisha unakimbia nyumbani ili uipost JF....! Kweli wewe hamnazo....!

Siku ya kujifungua hakawii kuchukua video na kuipost humu
 
usimuulize chochote akija endelea kuwa nae kama kawaida
 
Back
Top Bottom