Nimemfumania dada yangu kwenye kitanda changu

Nimemfumania dada yangu kwenye kitanda changu

blackb

Member
Joined
Mar 30, 2017
Posts
99
Reaction score
113
Naomba nisipoteze muda, direct to the point.

Leo asubuhi mida ya saa 12 hivi nimetoka kazini maana nilikuwa night shift. Ile nafungua mlango nashangaa uko wazi, nikaamua kuusukuma ili niingie.

Hamadiiii namkuta dada yangu kama alivyozaliwa akiwa na mwanaume ambaye ni jirani yetu.

Nimeshindwa cha kufanya aisee nimewafungia ndani nikaenda kuazima shoka kwa jirani nataka nikate mguu mmoja aisee. Sitaki ushauri.
 
Naomba nisipoteze muda, direct to the point.

Leo asubuhi mida ya saa 12 hivi nimetoka kazini maana nilikuwa night shift. Ile nafungua mlango nashangaa uko wazi, nikaamua kuusukuma ili niingie.

Hamadiiii namkuta dada yangu kama alivyozaliwa akiwa na mwanaume ambaye ni jirani yetu.

Nimeshindwa cha kufanya aisee nimewafungia ndani nikaenda kuazima shoka kwa jirani nataka nikate mguu mmoja aisee. Sitaki ushauri.
Hutaki ushauri? Umekuja hapa kufanya nini? Au na wewe ni ndugu yke kisandu
 
Sjajua shida ni ipi kati ya hz mpka ukate mtu Mguu
1.Dada yako Kulala na mwanaume kitandan kwako
2.Dada yako Kupigwa Mambo
3.Mwanaume Jiran yenu kumla dada yako
hahaha upo mpk huku
 
Muache dada yako achezee muhogo si unajua genye zikizidi popote kambi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom