Nimemchoka sana mama yangu

Nimemchoka sana mama yangu

asante.hakuolewa na baba.baba alikua na familia tayari ndo akawa na mahusiano na mama.may be so
Pole sana kila familia inamatatizo yke umevumilia miaka yote umeweza,msamehe mama ukija kua n family yko utapata faraja ambazo wazazi hawakukupa wewe
 
pole..Imebidi tu nirudi kwenye profile yako kusoma thread za nyuma.Una majanga/masahibu si kidogo...
yap.changamoto tu za maisha.ukija sehem kama hii.watu watakushauri, wengne kukupa moyo.so najiskia amani kutoa yaliyoko moyoni na kuona watu wanapata hata dakika ya kukujibu.Mambo mengne swez mwelezea mtu kama unavyoona hata mamangu siwezi so hapa angalau napata faraja japo kuna changamoto pia.
 
Pole sana aise mwachie mungu tu maana hamna namna ni mama yako tu huyo iko siku nawe utafunguliwa milango na haja ya moyo wako litatimia
 
hapana..mama mdgo hajawah kuzaa she had sickle cells.alikua akipata hela kdgo alikua ananipa na kunisii nisome kwa bidii.alikua hana kazi alimtegemea mama pia na alikufa mdgo tu akiwa na 25years.This makes me cry
dah pole sana seems mama mdogo alifanya makubwa katika masiha yako, nweis kashakua mzaz wako hakuna namna yoyote ya kubadili hilo ulipotoka ni mbali na umebakiza hatua chache kuanza maisha yako mwenyewe so ione kama kwaida utakuja tu kuish maisha yako.
 
Pole, huwezi jua mamako alipata ujauzito wako kwenye mazingira gani, hebu msamehe ni binadamu japo hukustahili adhabu hiyo. Jipe nafasi ya kukaa na watu ubadilishane nao mawazo mamy, haya maisha sio ya kuishi kwa masononeko kiasi hicho mpenzi utapata maradhi bure wakati yeye anaendelea kuenjoy life. We mpotezee tu anakupenda ndo maana hakutoa mimba yako na alivyokuzaa tu hakukutupa mamy Mshukuru Mungu kwa hilo my dear
 
Jamani mimi uvumilivu wa kufanyiwa mambo ya kipuuzi sina na siangalii umri wala mtu,mungu ndio anahukumu kwa haki mimi mama yangu ananijua namuheshimu lakini akiniletea habari za ajabu ajabu namchana laivu kinoma noma na kwakua anafanyaga kweli makosa au kunikosea hua anaelewa na baadae tunaanza kuongea vizuri.Ila sasa hivi ameacha maana ameona hazinitoshi,na angeleta habari za kunimwagia radhi ningemrekodi na kushare kwenye wasap ili dunia nzima imchungulie

NB;mzazi akikosea harafu ukamwambia ukweli akakasirika na kukuvulia nguo usipate tabu wala usiwe na wasi wasi we mrekodi harafu share kwenye wasap ili achunguliwe dunia nzima maana atakua anataka kuchunguliwa
 
Ndivyo ilivyo hata mimi mama yangu yupo hivyo ila nampenda tu hivyo hivyo,
 
Jamani mimi uvumilivu wa kufanyiwa mambo ya kipuuzi sina na siangalii umri wala mtu,mungu ndio anahukumu kwa haki mimi mama yangu ananijua namuheshimu lakini akiniletea habari za ajabu ajabu namchana laivu kinoma noma na kwakua anafanyaga kweli makosa au kunikosea hua anaelewa na baadae tunaanza kuongea vizuri.Ila sasa hivi ameacha maana ameona hazinitoshi,na angeleta habari za kunimwagia radhi ningemrekodi na kushare kwenye wasap ili dunia nzima imchungulie

NB;mzazi akikosea harafu ukamwambia ukweli akakasirika na kukuvulia nguo usipate tabu wala usiwe na wasi wasi we mrekodi harafu share kwenye wasap ili achunguliwe dunia nzima maana atakua anataka kuchunguliwa
kuna watu wamepinda!
 
Pole Sana mkuu... Kupata kazi ni suala la Muda tuu, endelea kumuomba Mungu, muombee na mama pia, I can see she loves you ila hataki kukuonyesha,zawadi ya elimu aliyokupatia ni ya thamani sana japo hana affection na wewe atabaki kuwa ni mama tuu. Pole
 
Mshukuru Mungu kwa yote ambayo mama yako amekufanyia haswa kukuelimisha hadi chuo kikuu pengine anafanya hivyo kutokana na status quo,hao wenzako wana Baba yao,wewe Baba yako hana mpango na wewe kama umemaliza chuo jitahidi upate cha ili uwe na maisha yako hayo mapungufu uliyoyasema yasikufanye umchukie mama yako,yatumie kama fursa ya wewe kutoka hapo ulipo kupata matokeo chanya.Epukana na kujirahisisha kwa wanaume kutokana na hali hiyo manake kufanya hivyo ni sawa na kujaribu kuzima moto kwa petrol.
 
Nimeku PM ndugu Jaribu usome kwa makini it might help something. God bless you
 
Habari, pole saana kwa mkasa huo very touching and sad ila nikuambie kitu au ushauri wangu, wewe vumilia isi kuumize kichwa chukulia ni changamoto ya maisha kila mtu ana shida zake au mzigo wake,mfano wewe unalia hivyo ila mwingine anatamani angekua hata position kama yako maana una umesomweshwa, na nyumbani una lala kwake nakula una kula, watu wako mitahani awana baba wala mama kula kwa shida wanakula majajarani,huyo mama anakupenda tuh wewe ujui na iko siku atakupatia ulicho kua unataka from now where.ila masimango yapo wa swahili wana sema maneno hayaui wewe ya chukue ya ufanye ya kujenge. pili huyo ni mama yako msamehe bure usimchukie usichukie ame beba mimba miezi tisa, mpaka amekuza, na mpaka ukafikia hapo so nikushukuru tuh yaani huo ni mtihani dot fail have faith.kila anapo kusimaga labda unaona hivyo wewe shukuru muungu daraja lako linaogezeka, dada pepo yako iko chini ya wazazi wako wa wili baba na mama so una jinsi hata mama angekua mchawi vipi still ni mama yako na ukifanya chochote against kwa mungu unalo, unless akukataze mambo ya ibada hapo ndo unarusiwa kua against.otherwise kua mpole mpaka utapoolewa hapo sasa pepo yako inamia kwa unyao wa mumeo mpende mumeo muheshimu,huo ni mtihani mdogo.
nashukuru sana
 
Nikusih kua katika kila jaribu Kuna jema mbele yako, ipo cku mungu atakuinua ninahis maumivu unayoyapata ila vumilia, omba mungu upate Kaz uwe na maisha yako ila cjawah ona mama wa hivyo mie nilijuaga ni kwenye muv tu yapo kumbe ya kwel,na yanatokea katika jamii nikusih umvumilie mama yako na upende, mungu atakuinua Hilo ni jaribu na utashinda na ipo cku hx ya maisha yako itabadilika had huyo mama yako atakuja kukuomba msamaha
 
Nashukuru Mungu kwa yote ambayo mama yako amekufanyia haswa kukuelimisha hadi chuo kikuu pengine anafanya hivyo kutokana na status quo,hao wenzako wana Baba yao,wewe Baba yako hana mpango na wewe kama umemaliza chuo jitahidi upate cha ili uwe na maisha yako hayo mapungufu uliyoyasema yasikufanye umchukie mama yako,yatumie kama fursa ya wewe kutoka hapo ulipo kupata matokeo chanya.Epukana na kujirahisisha kwa wanaume kutokana na hali hiyo manake kufanya hivyo ni sawa na kujaribu kuzima moto kwa petrol.
sawa asante
 
Pole Sana mkuu... Kupata kazi ni suala la Muda tuu, endelea kumuomba Mungu, muombee na mama pia, I can see she loves you ila hataki kukuonyesha,zawadi ya elimu aliyokupatia ni ya thamani sana japo hana affection na wewe atabaki kuwa ni mama tuu. Pole
Okay thankyu so much
 
Ingekuwa ni mama wa kambo tungesema anakutesa na ningeungana nawe kuwachukia ila kwa kuwa ni mama Mzazi hapo anakufundisha maisha. Kwa ujumla hilo ni jaribu tu, ipo siku litakuwa ni simulizi inayosisimua. Yupo Mungu Msemaji wa Mwisho
 
Back
Top Bottom