Nimemaliza kupiga plasta nimekuta nyufa

valdez

JF-Expert Member
Oct 4, 2014
268
373
Hivi karibuni (kama miezi minne iliopita) nimemaliza kupiga plasta, nilimwagilia maji vizuri kwa siku nane nashangaa leo nmetembelea site nmekutana na nyufa hizo.

Je, is it very fatal?

20221107_174420.jpg
 
Ukipita kwenye nyumba nyingi utaona nyufa hasa kwenye madirisha eneo hilo hilo ambalo limetokea na kwako, usiogope. Huo ufa yawezekana ulikuwepo hata kabla ya plasta lakini hukuona, kabla ya kupiga plasta maeneo kama hayo huwa wanatanguliza wire mesh. Wala isikutishe mkuu
 
Nyufa za kwny madirisha Ni za kawaida Sana, inasababishwa na kutanuka na kusinyaa kwa chuma au mbao ya Hapo kwenye dirisha.

Ufa huu unakuaga mmoja TU na Unaweza kushuka Hadi kwenye msingi, ila Hauna madhara kweye nyumba Maana uwa Ni wa juu juu TU kwenye iyo simenti ya plasta na sio tofali.

Cha kufanya:
Tindua hapo kwenye ufa, Kisha Chukua kipande Cha Nondo au waya pachika kuziba ufa na Kisha chapia kwa simenti Kali.

Inakua imeisha
 
Nadhani huo ufa umetoka kwenye msingi na hapo ni wire mesh tu ili kuziba usionekane kwenye macho ya watu ila ukisema uskimu utapiga mpaka uchoke lazima ujirudie.
 
Iko hivi! Siku hizi mafundi ujenzi wanajenga halafu wanaacha ufa katikati ya kila dirisha kwa ajili ya nyumba kupumua.

Wakati wa plasta ni lazima kuweka waya meshi katikakati ya huo ufa. Tofauti na hapo lazima ufa utatokea tu ukipigwa plasta
 
Nyufa za kwny madirisha Ni za kawaida Sana, inasababishwa na kutanuka na kusinyaa kwa chuma au mbao ya Hapo kwenye dirisha.

Ufa huu unakuaga mmoja TU na Unaweza kushuka Hadi kwenye msingi, ila Hauna madhara kweye nyumba Maana uwa Ni wa juu juu TU kwenye iyo simenti ya plasta na sio tofali.

Cha kufanya:
Tindua hapo kwenye ufa, Kisha Chukua kipande Cha Nondo au waya pachika kuziba ufa na Kisha chapia kwa simenti Kali.

Inakua imeisha
Vipi wale wanaoweka wire mesh au kipande cha gunia na kuchapia na cement kali? Imekaaje kitaalamu?
 
Iko hivi! Siku hizi mafundi ujenzi wanajenga halafu wanaacha ufa katikati ya kila dirisha kwa ajili ya nyumba kupumua.

Wakati wa plasta ni lazima kuweka waya meshi katikakati ya huo ufa. Tofauti na hapo lazima ufa utatokea tu ukipigwa plasta
Nimeipenda hii ya pili ya kuweka wire mesh wanaiwekaje hiyo mkuu?
 
Kikubwa msingi wako uwe umefunga mkanda...kama hukufunga mkanda, ufa utafika mpk chini...hiyo ndio faida ya mkanda nyumba ikipumua....hapo nyumba imepumua kijiweka sawa
 
Iko hivi! Siku hizi mafundi ujenzi wanajenga halafu wanaacha ufa katikati ya kila dirisha kwa ajili ya nyumba kupumua.

Wakati wa plasta ni lazima kuweka waya meshi katikakati ya huo ufa. Tofauti na hapo lazima ufa utatokea tu ukipigwa plasta
Kwa ajili ya Nyumba kupumua....!?
-Hii ni result ya settlement...hapo either
1.Ujenzi ulifanyika kipindi udongo una maji,maji yalipo kauka upande mmoja ukashuka.

2.Ujenzi wa Msingi ulifanyika kwa uharaka mpaka kuinua kuta, huku ardhi yake ikiwa unstable,,au msingi haujazama chini.
-so hapo msingi unatitia kila upande kivyake kufika kwenye stable ground.
 
Nyufa za kwny madirisha Ni za kawaida Sana, inasababishwa na kutanuka na kusinyaa kwa chuma au mbao ya Hapo kwenye dirisha.

Ufa huu unakuaga mmoja TU na Unaweza kushuka Hadi kwenye msingi, ila Hauna madhara kweye nyumba Maana uwa Ni wa juu juu TU kwenye iyo simenti ya plasta na sio tofali.

Cha kufanya:
Tindua hapo kwenye ufa, Kisha Chukua kipande Cha Nondo au waya pachika kuziba ufa na Kisha chapia kwa simenti Kali.

Inakua imeisha
Inatumika misumali ya inchi 6 badala ya nondo
 
Back
Top Bottom