Victor Chilambo
Senior Member
- Jan 31, 2019
- 111
- 43
Naombeni msaada kombi gani nisome advanc "nimemaliza kidato cha nne mwaka 2018 najiandaa kuingia kidato cha tano lakin nashindwa kufanya chaguo la combi"matokeo yangu ni Hist-C,,Geo-C,,Kisw-C,,Eng-C,,Bio-C,,Math-C,,Civ-D,,Chem-D,,Phy-F
Mpango wangu ulikua kusomea kombi zenye physics lakin matokeo yamekuja wrong.Je chuo na advanc kipi bora
Mpango wangu ulikua kusomea kombi zenye physics lakin matokeo yamekuja wrong.Je chuo na advanc kipi bora