Burn the bridge _Tz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 2,259
- 6,630
Wakuu ipo hivi
Nina leseni daraja A1 A2 Na D(sina cheti)
KAZI ya vishoka
Nilichukua kwa ajili ya kuendesha Bajaj mwaka 2022 mpaka Sasa Ina miaka mitatu.
Nataka kuingia kwenye fani ya malori kwa kufanya hivi.
Nataka kutafuta laki Tano, nimpe dereva wa Lori ili aniweke kama tingo kwa muda hata wa miezi sita.(Niamani ntakuwa nimeweza kwa vitendo)
Baada ya hapo niende NIT nikasome Sasa course ya udereva malori kwa ajili ya cheti.
Nje kwa kutumia Njia hiyo inaweza kuwa rahisi Mimi kuwa dereva???
Nina leseni daraja A1 A2 Na D(sina cheti)
KAZI ya vishoka
Nilichukua kwa ajili ya kuendesha Bajaj mwaka 2022 mpaka Sasa Ina miaka mitatu.
Nataka kuingia kwenye fani ya malori kwa kufanya hivi.
Nataka kutafuta laki Tano, nimpe dereva wa Lori ili aniweke kama tingo kwa muda hata wa miezi sita.(Niamani ntakuwa nimeweza kwa vitendo)
Baada ya hapo niende NIT nikasome Sasa course ya udereva malori kwa ajili ya cheti.
Nje kwa kutumia Njia hiyo inaweza kuwa rahisi Mimi kuwa dereva???