Rockefeller
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,196
- 2,151
Zina ukubwa wa zaidi ya 2TB yaani GB 2000 utaweza ku download chief!!!, Tusubiri summary tu.weka hiyo documents tuisome
Zina ukubwa wa zaidi ya 2TB yaani GB 2000 utaweza ku download chief!!!, Tusubiri summary tu.weka hiyo documents tuisome
Kwani wewe unayeshabikia issue za lumumba na kuendekeza kuramba miguu chakubanga unapata nini?Wewe uliandika lini jambo lako likaeleweka? Sana labda kushabikia issues za Ufipa tu
Tatizo, heshima ya kimataifa, haifuati vigezo vyako. Tonny Blair ametajwa na hapa kila siku anakuja kumshauri Samia na tunajivunia kumtaja eti ana mazumngumzo na rais. Umaskini wetu wa mawazo na akili na mali ndo unaotuweka kwenye kundi bovu.Hata kama ufisadi upo lakini haujafikia viwango vya kutisha kama tulivyoona kwenye lile faili la Pandora.
Heshima ya Tanzania kimataifa ni ya kujivunia.
Mungu ni mwema wakati wote!
Kweeeeriiiiii kabisaTatizo, heshima ya kimataifa, haifuati vigezo vyako. Tonny Blair ametajwa na hapa kila siku anakuja kumshauri Samia na tunajivunia kumtaja eti ana mazumngumzo na rais. Umaskini wetu wa mawazo na akili na mali ndo unaotuweka kwenye kundi bovu.
Mawazo ya Nyerere yalituweka kundi la juu kuliko hawa wezi wetu.
Ushawafukuza machawaTsh. 1.5 trillion ni USD ngapi?
Hata kama ufisadi upo lakini haujafikia viwango vya kutisha kama tulivyoona kwenye lile faili la Pandora.
Heshima ya Tanzania kimataifa ni ya kujivunia.
Mungu ni mwema wakati wote!
Dogo umemsahau list of shame,Hata kama ufisadi upo lakini haujafikia viwango vya kutisha kama tulivyoona kwenye lile faili la Pandora.
Heshima ya Tanzania kimataifa ni ya kujivunia.
Mungu ni mwema wakati wote!
Hadi Makonda hayumo??Hata kama ufisadi upo lakini haujafikia viwango vya kutisha kama tulivyoona kwenye lile faili la Pandora.
Heshima ya Tanzania kimataifa ni ya kujivunia.
Mungu ni mwema wakati wote!
Kwamba umeshapitia 12 million pages za Pandora??? You must be kidding.Hata kama ufisadi upo lakini haujafikia viwango vya kutisha kama tulivyoona kwenye lile faili la Pandora.
Heshima ya Tanzania kimataifa ni ya kujivunia.
Mungu ni mwema wakati wote!
Tanzania tuna wadokozi wa vijisenti,sidhani kama mtu anaweza kuiba USD 500,000,000 na nchi isitikisike, miamba ya Pandora Papers imeiba na kuhifadhi kuanzia USD 50,000,000 wakati sisi wanavijisenti vya USD 1,000,000 ambazo hata Vunjaprice wetu anazo.Tanzania hakuna wizi ni udokozi tu huu nafikiri pia ni kwasababu ya thamani ndogo ya currency yetu. Kenya ni balaa
Tzn kuna wadokozi sio weziHata kama ufisadi upo lakini haujafikia viwango vya kutisha kama tulivyoona kwenye lile faili la Pandora.
Heshima ya Tanzania kimataifa ni ya kujivunia.
Mungu ni mwema wakati wote!
😁Mpe heshima basi mama yako wa nyumbani utajua umuhimu wa heshima kwa kila mama. Namheshimu sana mama yako kama ninavyo mheshimu mama yangu. Nadhani umenielewa.