Nyerere kaleta uhuru Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli hawana cha kukumbukwa labda Samia akitupatia Katiba Mpya

Sir robby

JF-Expert Member
Jun 22, 2022
2,400
4,073
Wadau nawasalimu.

Ukiwa Kiongozi kitu pekee unachopaswa kuwafanyia Watu wako ni kile ambacho walikitafuta kwa muda mrefu kupitia Viongozi mbalimbali lakini walishindwa kukipata.Kwa Mfano RAIS Nyerere anakumbukwa kwa Kutupatia UHURU kuzisaidia Nchi nyingine kupata Uhuru wao leo hii ukienda Msumbiji Angola Zimbabwe Rais NYERERE Anakumbukwa sana.

Rais Mandela anakumbukwa Kwa kupinga Ubaguzi wa Rangi wa Makaburu kitendo ambacho kilimpelekea Kufungwa Jela Miaka mingi. Watanzania hatumkumbuki RAIS Nyerere kwa Kujenga Mashule Zahanati Barabara au Madaraja.

Watu wa Afrika ya Kusini Hawamkumbuki Rais Mandela kwa kujenga Hospital Shule au Vituo vya Afya kwani Tatizo lao kubwa lilikuwa UBAGUZI wa RANGI uliofanywa na MAKABURU na ndio Rais Mandela ALIUPINGA kwa Nguvu zake zote mpaka akafungwa na hilo ndilo Watu wake na DUNIA nzima INAMKUMBUKA na hiyo ndii LEGACY ya RAIS Mandela.

Hivyo basi LEGACY ya NYERERE na MANDELA ni hayo mambo na sio Shule Zahanati Madaraja waliojenga HUWEZI kukumbukwa kwa kufanya hivyo.

Tanzania tumekuwa na MARAIS 5
Baada ya NYERERE nao ni
1.Rais Mwinyi
2.Rais Mkapa
3.Rais Kikwete
4.Rais Magufuli
5.Rais Samia
Marais Mwinyi Mkapa Kikwete ma Magufuli Hawana KITU/VITU vya KUWAKUMBUKA kwani hata kama Walijenga barabara Zahanati na Masoko na Fly Overs hayo mambo hayawafanyi WAKUMBUKWE kwani hata Mama SAMIA anayafanya kwa sasa na Rais Ajaye 2025 ATAYAFANYA ila sio yale ya RAIS NYERERE

Rais KIKWETE alitaka kuwapatia WATANZANIA KATIBA MPYA Katiba ambayo wamekuwa Wanaitaka kwa Miaka Mingi Katiba ambayo ingewabadilishia MAISHA yao Katiba ambayo ingepatikana naamini RAIS KIKWETE nae Angekuwa amejiwekea LEGACY ya KUKUMBUKWA kwa Kuwapatia WATANZANIA KATIBA lakini kutokana na KUSHINDWA atabaki sawa na Marais wawili waliomtangulia kwa kutokukumbukwa.

Sasa hivi tuna RAIS Samia ninachomshauri asiingie kwenye MTEGO wa Watangulizi wake wa kutokukumbukwa Suala la kujenga Zahanati Madaraja Reli ni la kawaida sana kwani hata RAIS AJAYE Atajenga tu.

NAMSHAURI RAIS Samia kabla ya Kumaliza KIPINDI CHAKE Awapatie WATANZANIA KATIBA MPYA na endapo Rais Samia ATAFANIKIWA kuwapatia Watanzania KATIBA MPYA hiyo ndiyo itakuwa LEGACY ya RAIS SAMIA Baada ya HAYATI BABA wa TAIFA kutupatia UHURU.

Watanzania HITAJI lao kwa Sasa ni KATIBA MPYA. Madaraja Barabara Zahanati Hospital ni Maendeleo Endelevu yapo kila siku lakini KATIBA MPYA ni Tukio ADIMU SANA.
 
Haya ndio kila siku yanapigiwa kelele na serikali jamani bhangi mbaya hamuelewi angalia sasa ulichoandika hata hakieleweki. Wahi sober house huko ukatibiwe
Nilijua tu Vichaa mtajitokeza kiswahili bado ni Tatizo Uelewa nao nitatizo kunielewa nilichoandika mpaka uwe na AKILI KUBWA sio hizi Akili zilizochanganyika na BANGI
 
Wadau nawasalimu.Ukiwa Kiongozi kitu pekee unachopaswa kuwafanyia Watu wako ni kile ambacho walikitafuta kwa muda mrefu kupitia Viongozi mbalimbali lakini walishindwa kukipata.Kwa Mfano RAIS Nyerere anakumbukwa kwa Kutupatia UHURU kuzisaidia Nchi nyingine kupata Uhuru wao leo hii ukienda Msumbiji Angola Zimbabwe Rais NYERERE Anakumbukwa sana.Rais Mandela anakumbuka Kwa kupiga Ubaguzi wa Rangi wa Makaburu kitendo ambacho kilimpelekea Kufungwa Jela Miaka mingi.Watanzania hatumkumbuki RAIS Nyerere kwa Kujenga Mashule Zahanati Barabara au Madaraja.Watu wa Afrika ya Kusini Hawamkumbuki Rais Mandela kwa kujenga Hospital Shule au Vituo vya Afya kwani Tatizo lao kubwa lilikuwa UBAGUZI wa RANGI uliofanywa na MAKABURU na ndio Rais Mandela ALIUPINGA kwa Nguvu zake zote mpaka akafungwa na hilo ndilo Watu wake na DUNIA nzima INAMKUMBUKA na hiyo ndii LEGACY ya RAIS Mandela .Hivyo basi LEGACY ya NYERERE na MANDELA ni hayo mambo na sio Shule Zahanati Madaraja waliojenga HUWEZI kukumbukwa kwa kufanya hivyo .Tanzania tumekuwa na MARAIS 5
Baada ya NYERERE nao ni
1.Rais Mwinyi
2.Rais Mkapa
3.Rais Kikwete
4.Rais Magufuli
5.Rais Samia
Marais Mwinyi Mkapa Kikwete ma Magufuli Hawana KITU/VITU vya KUWAKUMBUKA kwani hata kama Walijenga barabara Zahanati na Masoko na Fly Overs hayo mambo hayawafanyi WAKUMBUKWE kwani hata Mama SAMIA anayafanya kwa sasa na Rais Ajaye 2025 ATAYAFANYA ila sio yale ya RAIS NYERERE
Rais KIKWETE alitaka kuwapatia WATANZANIA KATIBA MPYA Katiba ambayo wamekuwa Wanaitaka kwa Miaka Mingi Katiba ambayo ingewabadilishia MAISHA yao Katiba ambayo ingepatikana naamini RAIS KIKWETE nae Angekuwa amejiwekea LEGACY ya KUKUMBUKWA kwa Kuwapatia WATANZANIA KATIBA lakini kutokana na KUSHINDWA atabaki sawa na Marais wawili waliomtangulia kwa kutokukumbukwa.Sasa hivi tuna RAIS Samia ninachomshauri asiingie kwenye MTEGO wa Watangulizi wake wa kutokukumbukwa Suala la kujenga Zahanati Madaraja Reli ni la kawaida sana kwani hata RAIS AJAYE Atajenga tu.NAMSHAURI RAIS Samia kabla ya Kumaliza KIPINDI CHAKE Awapatie WATANZANIA KATIBA MPYA na endapo Rais Samia ATAFANIKIWA kuwapatia Watanzania KATIBA MPYA hiyo ndiyo itakuwa LEGACY ya RAIS SAMIA Baada ya HAYATI BABA wa TAIFA kutupatia UHURU .
Watanzania HITAJI lao kwa Sasa ni KATIBA MPYA.Madaraja Barabara Zahanati Hospital ni Maendeleo Endelevu yapo kila siku lakini KATIBA MPYA ni Tukio ADIMU SANA.
Madawa ya kulevya siyo kitu kizuri. Ndo maana China wananyongwa
 
Acha kujitekenya na kucheka mwenyewe hiki ulichoandika hapa ni pumba kabisa. Kabisa unataka kusema kuna sentesi sijailewa hapa?

Nakushauri tu uwahi matibabu bila hivyo 2023 utaanza kuongea mwenyewe. Bhangi sio nzuri wenzako wanavuta tu sasa wewe umekula kabisa
Nilijua tu Vichaa mtajitokeza kiswahili bado ni Tatizo Uelewa nao nitatizo kunielewa nilichoandika mpaka uwe na AKILI KUBWA sio hizi Akili zilizochanganyika na BANGI
 
Wadau nawasalimu.Ukiwa Kiongozi kitu pekee unachopaswa kuwafanyia Watu wako ni kile ambacho walikitafuta kwa muda mrefu kupitia Viongozi mbalimbali lakini walishindwa kukipata.Kwa Mfano RAIS Nyerere anakumbukwa kwa Kutupatia UHURU kuzisaidia Nchi nyingine kupata Uhuru wao leo hii ukienda Msumbiji Angola Zimbabwe Rais NYERERE Anakumbukwa sana.Rais Mandela anakumbuka Kwa kupiga Ubaguzi wa Rangi wa Makaburu kitendo ambacho kilimpelekea Kufungwa Jela Miaka mingi.Watanzania hatumkumbuki RAIS Nyerere kwa Kujenga Mashule Zahanati Barabara au Madaraja.Watu wa Afrika ya Kusini Hawamkumbuki Rais Mandela kwa kujenga Hospital Shule au Vituo vya Afya kwani Tatizo lao kubwa lilikuwa UBAGUZI wa RANGI uliofanywa na MAKABURU na ndio Rais Mandela ALIUPINGA kwa Nguvu zake zote mpaka akafungwa na hilo ndilo Watu wake na DUNIA nzima INAMKUMBUKA na hiyo ndii LEGACY ya RAIS Mandela .Hivyo basi LEGACY ya NYERERE na MANDELA ni hayo mambo na sio Shule Zahanati Madaraja waliojenga HUWEZI kukumbukwa kwa kufanya hivyo .Tanzania tumekuwa na MARAIS 5
Baada ya NYERERE nao ni
1.Rais Mwinyi
2.Rais Mkapa
3.Rais Kikwete
4.Rais Magufuli
5.Rais Samia
Marais Mwinyi Mkapa Kikwete ma Magufuli Hawana KITU/VITU vya KUWAKUMBUKA kwani hata kama Walijenga barabara Zahanati na Masoko na Fly Overs hayo mambo hayawafanyi WAKUMBUKWE kwani hata Mama SAMIA anayafanya kwa sasa na Rais Ajaye 2025 ATAYAFANYA ila sio yale ya RAIS NYERERE
Rais KIKWETE alitaka kuwapatia WATANZANIA KATIBA MPYA Katiba ambayo wamekuwa Wanaitaka kwa Miaka Mingi Katiba ambayo ingewabadilishia MAISHA yao Katiba ambayo ingepatikana naamini RAIS KIKWETE nae Angekuwa amejiwekea LEGACY ya KUKUMBUKWA kwa Kuwapatia WATANZANIA KATIBA lakini kutokana na KUSHINDWA atabaki sawa na Marais wawili waliomtangulia kwa kutokukumbukwa.Sasa hivi tuna RAIS Samia ninachomshauri asiingie kwenye MTEGO wa Watangulizi wake wa kutokukumbukwa Suala la kujenga Zahanati Madaraja Reli ni la kawaida sana kwani hata RAIS AJAYE Atajenga tu.NAMSHAURI RAIS Samia kabla ya Kumaliza KIPINDI CHAKE Awapatie WATANZANIA KATIBA MPYA na endapo Rais Samia ATAFANIKIWA kuwapatia Watanzania KATIBA MPYA hiyo ndiyo itakuwa LEGACY ya RAIS SAMIA Baada ya HAYATI BABA wa TAIFA kutupatia UHURU .
Watanzania HITAJI lao kwa Sasa ni KATIBA MPYA.Madaraja Barabara Zahanati Hospital ni Maendeleo Endelevu yapo kila siku lakini KATIBA MPYA ni Tukio ADIMU SANA.
Mleta mada akii yako ipo kisiasa zaidi, kwako maisha ni siasa na siasa ni maisha.

Maendeleo yote haya yaliyopatikana kwako ni kazi bure unatazama uhuru wa 1961 na katiba mpya pekee, mengine kwako hayana maana yoyote!.


Pole sana mkuu.
 
NAMSHAURI RAIS Samia kabla ya Kumaliza KIPINDI CHAKE Awapatie WATANZANIA KATIBA MPYA na endapo Rais Samia ATAFANIKIWA kuwapatia Watanzania KATIBA MPYA hiyo ndiyo itakuwa LEGACY ya RAIS SAMIA Baada ya HAYATI BABA wa TAIFA kutupatia UHURU .
Hawezi tambua kuwa amezungushiwa utandu wa buibui
 
Yes hizo ni Fact

Nyerere kaacha Legacy

Lakini waliobaki ni 0-0
Wenye AKILI NDOGO HAWAWEZI KUJUA HIVYO PONGEZI MKUU KWA KULITAMBUA HILO NYERERE KAACHA LEGACY DUNIA HAIMKUMBUKI KWA KUJENGA MAHOSPITALI
MANDELA KAACHA LEGACY DUNIA INAMKUMBUKA HUWEZI KUKUMBUKWA KWA KUJENGA ZAHANATI
JE NANI ANAMKUMBUKA ALIYEJENGA FLY OVER YA MANZESE?
 
Wadau nawasalimu.Ukiwa Kiongozi kitu pekee unachopaswa kuwafanyia Watu wako ni kile ambacho walikitafuta kwa muda mrefu kupitia Viongozi mbalimbali lakini walishindwa kukipata.Kwa Mfano RAIS Nyerere anakumbukwa kwa Kutupatia UHURU kuzisaidia Nchi nyingine kupata Uhuru wao leo hii ukienda Msumbiji Angola Zimbabwe Rais NYERERE Anakumbukwa sana.Rais Mandela anakumbuka Kwa kupiga Ubaguzi wa Rangi wa Makaburu kitendo ambacho kilimpelekea Kufungwa Jela Miaka mingi.Watanzania hatumkumbuki RAIS Nyerere kwa Kujenga Mashule Zahanati Barabara au Madaraja.Watu wa Afrika ya Kusini Hawamkumbuki Rais Mandela kwa kujenga Hospital Shule au Vituo vya Afya kwani Tatizo lao kubwa lilikuwa UBAGUZI wa RANGI uliofanywa na MAKABURU na ndio Rais Mandela ALIUPINGA kwa Nguvu zake zote mpaka akafungwa na hilo ndilo Watu wake na DUNIA nzima INAMKUMBUKA na hiyo ndii LEGACY ya RAIS Mandela .Hivyo basi LEGACY ya NYERERE na MANDELA ni hayo mambo na sio Shule Zahanati Madaraja waliojenga HUWEZI kukumbukwa kwa kufanya hivyo .Tanzania tumekuwa na MARAIS 5
Baada ya NYERERE nao ni
1.Rais Mwinyi
2.Rais Mkapa
3.Rais Kikwete
4.Rais Magufuli
5.Rais Samia
Marais Mwinyi Mkapa Kikwete ma Magufuli Hawana KITU/VITU vya KUWAKUMBUKA kwani hata kama Walijenga barabara Zahanati na Masoko na Fly Overs hayo mambo hayawafanyi WAKUMBUKWE kwani hata Mama SAMIA anayafanya kwa sasa na Rais Ajaye 2025 ATAYAFANYA ila sio yale ya RAIS NYERERE
Rais KIKWETE alitaka kuwapatia WATANZANIA KATIBA MPYA Katiba ambayo wamekuwa Wanaitaka kwa Miaka Mingi Katiba ambayo ingewabadilishia MAISHA yao Katiba ambayo ingepatikana naamini RAIS KIKWETE nae Angekuwa amejiwekea LEGACY ya KUKUMBUKWA kwa Kuwapatia WATANZANIA KATIBA lakini kutokana na KUSHINDWA atabaki sawa na Marais wawili waliomtangulia kwa kutokukumbukwa.Sasa hivi tuna RAIS Samia ninachomshauri asiingie kwenye MTEGO wa Watangulizi wake wa kutokukumbukwa Suala la kujenga Zahanati Madaraja Reli ni la kawaida sana kwani hata RAIS AJAYE Atajenga tu.NAMSHAURI RAIS Samia kabla ya Kumaliza KIPINDI CHAKE Awapatie WATANZANIA KATIBA MPYA na endapo Rais Samia ATAFANIKIWA kuwapatia Watanzania KATIBA MPYA hiyo ndiyo itakuwa LEGACY ya RAIS SAMIA Baada ya HAYATI BABA wa TAIFA kutupatia UHURU .
Watanzania HITAJI lao kwa Sasa ni KATIBA MPYA.Madaraja Barabara Zahanati Hospital ni Maendeleo Endelevu yapo kila siku lakini KATIBA MPYA ni Tukio ADIMU SANA.

Andika vizuri basi Duh
 
Wadau nawasalimu.Ukiwa Kiongozi kitu pekee unachopaswa kuwafanyia Watu wako ni kile ambacho walikitafuta kwa muda mrefu kupitia Viongozi mbalimbali lakini walishindwa kukipata.Kwa Mfano RAIS Nyerere anakumbukwa kwa Kutupatia UHURU kuzisaidia Nchi nyingine kupata Uhuru wao leo hii ukienda Msumbiji Angola Zimbabwe Rais NYERERE Anakumbukwa sana.Rais Mandela anakumbuka Kwa kupiga Ubaguzi wa Rangi wa Makaburu kitendo ambacho kilimpelekea Kufungwa Jela Miaka mingi.Watanzania hatumkumbuki RAIS Nyerere kwa Kujenga Mashule Zahanati Barabara au Madaraja.Watu wa Afrika ya Kusini Hawamkumbuki Rais Mandela kwa kujenga Hospital Shule au Vituo vya Afya kwani Tatizo lao kubwa lilikuwa UBAGUZI wa RANGI uliofanywa na MAKABURU na ndio Rais Mandela ALIUPINGA kwa Nguvu zake zote mpaka akafungwa na hilo ndilo Watu wake na DUNIA nzima INAMKUMBUKA na hiyo ndii LEGACY ya RAIS Mandela .Hivyo basi LEGACY ya NYERERE na MANDELA ni hayo mambo na sio Shule Zahanati Madaraja waliojenga HUWEZI kukumbukwa kwa kufanya hivyo .Tanzania tumekuwa na MARAIS 5
Baada ya NYERERE nao ni
1.Rais Mwinyi
2.Rais Mkapa
3.Rais Kikwete
4.Rais Magufuli
5.Rais Samia
Marais Mwinyi Mkapa Kikwete ma Magufuli Hawana KITU/VITU vya KUWAKUMBUKA kwani hata kama Walijenga barabara Zahanati na Masoko na Fly Overs hayo mambo hayawafanyi WAKUMBUKWE kwani hata Mama SAMIA anayafanya kwa sasa na Rais Ajaye 2025 ATAYAFANYA ila sio yale ya RAIS NYERERE
Rais KIKWETE alitaka kuwapatia WATANZANIA KATIBA MPYA Katiba ambayo wamekuwa Wanaitaka kwa Miaka Mingi Katiba ambayo ingewabadilishia MAISHA yao Katiba ambayo ingepatikana naamini RAIS KIKWETE nae Angekuwa amejiwekea LEGACY ya KUKUMBUKWA kwa Kuwapatia WATANZANIA KATIBA lakini kutokana na KUSHINDWA atabaki sawa na Marais wawili waliomtangulia kwa kutokukumbukwa.Sasa hivi tuna RAIS Samia ninachomshauri asiingie kwenye MTEGO wa Watangulizi wake wa kutokukumbukwa Suala la kujenga Zahanati Madaraja Reli ni la kawaida sana kwani hata RAIS AJAYE Atajenga tu.NAMSHAURI RAIS Samia kabla ya Kumaliza KIPINDI CHAKE Awapatie WATANZANIA KATIBA MPYA na endapo Rais Samia ATAFANIKIWA kuwapatia Watanzania KATIBA MPYA hiyo ndiyo itakuwa LEGACY ya RAIS SAMIA Baada ya HAYATI BABA wa TAIFA kutupatia UHURU .
Watanzania HITAJI lao kwa Sasa ni KATIBA MPYA.Madaraja Barabara Zahanati Hospital ni Maendeleo Endelevu yapo kila siku lakini KATIBA MPYA ni Tukio ADIMU SANA.
Acha uchawa wewe

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nilijua tu Vichaa mtajitokeza kiswahili bado ni Tatizo Uelewa nao nitatizo kunielewa nilichoandika mpaka uwe na AKILI KUBWA sio hizi Akili zilizochanganyika na BANGI
Hivi akili kubwa unaichukuliaje?
Kwa unataka kutuambia tangu Nyerere ang'atuke nchi ipo hali ile ile?,
 
Wadau nawasalimu.Ukiwa Kiongozi kitu pekee unachopaswa kuwafanyia Watu wako ni kile ambacho walikitafuta kwa muda mrefu kupitia Viongozi mbalimbali lakini walishindwa kukipata.Kwa Mfano RAIS Nyerere anakumbukwa kwa Kutupatia UHURU kuzisaidia Nchi nyingine kupata Uhuru wao leo hii ukienda Msumbiji Angola Zimbabwe Rais NYERERE Anakumbukwa sana.Rais Mandela anakumbuka Kwa kupiga Ubaguzi wa Rangi wa Makaburu kitendo ambacho kilimpelekea Kufungwa Jela Miaka mingi.Watanzania hatumkumbuki RAIS Nyerere kwa Kujenga Mashule Zahanati Barabara au Madaraja.Watu wa Afrika ya Kusini Hawamkumbuki Rais Mandela kwa kujenga Hospital Shule au Vituo vya Afya kwani Tatizo lao kubwa lilikuwa UBAGUZI wa RANGI uliofanywa na MAKABURU na ndio Rais Mandela ALIUPINGA kwa Nguvu zake zote mpaka akafungwa na hilo ndilo Watu wake na DUNIA nzima INAMKUMBUKA na hiyo ndii LEGACY ya RAIS Mandela .Hivyo basi LEGACY ya NYERERE na MANDELA ni hayo mambo na sio Shule Zahanati Madaraja waliojenga HUWEZI kukumbukwa kwa kufanya hivyo .Tanzania tumekuwa na MARAIS 5
Baada ya NYERERE nao ni
1.Rais Mwinyi
2.Rais Mkapa
3.Rais Kikwete
4.Rais Magufuli
5.Rais Samia
Marais Mwinyi Mkapa Kikwete ma Magufuli Hawana KITU/VITU vya KUWAKUMBUKA kwani hata kama Walijenga barabara Zahanati na Masoko na Fly Overs hayo mambo hayawafanyi WAKUMBUKWE kwani hata Mama SAMIA anayafanya kwa sasa na Rais Ajaye 2025 ATAYAFANYA ila sio yale ya RAIS NYERERE
Rais KIKWETE alitaka kuwapatia WATANZANIA KATIBA MPYA Katiba ambayo wamekuwa Wanaitaka kwa Miaka Mingi Katiba ambayo ingewabadilishia MAISHA yao Katiba ambayo ingepatikana naamini RAIS KIKWETE nae Angekuwa amejiwekea LEGACY ya KUKUMBUKWA kwa Kuwapatia WATANZANIA KATIBA lakini kutokana na KUSHINDWA atabaki sawa na Marais wawili waliomtangulia kwa kutokukumbukwa.Sasa hivi tuna RAIS Samia ninachomshauri asiingie kwenye MTEGO wa Watangulizi wake wa kutokukumbukwa Suala la kujenga Zahanati Madaraja Reli ni la kawaida sana kwani hata RAIS AJAYE Atajenga tu.NAMSHAURI RAIS Samia kabla ya Kumaliza KIPINDI CHAKE Awapatie WATANZANIA KATIBA MPYA na endapo Rais Samia ATAFANIKIWA kuwapatia Watanzania KATIBA MPYA hiyo ndiyo itakuwa LEGACY ya RAIS SAMIA Baada ya HAYATI BABA wa TAIFA kutupatia UHURU .
Watanzania HITAJI lao kwa Sasa ni KATIBA MPYA.Madaraja Barabara Zahanati Hospital ni Maendeleo Endelevu yapo kila siku lakini KATIBA MPYA ni Tukio ADIMU SANA.
Mleta Mada Sijajua Umri wako ila inaonekana wew ni kizazi cha Mkapa na kikwete yaani miaka ya 2000 na kuendelea na Inaonekana Historia ya Nyerere Umeipata kwenye Historia yaani umeisoma.Na kama ni wa zaman yaani Muhenga ngoja nikukukbushe Legacy walizoacha viongozi uliowataja ntaanza nao ntakuja kwa Nyerere Baadae ntaanza kukuoitisha kwa historia zao kwa haraka haraka huenda hizielewi

NTAANZA NA MWINYI NA NTAANDIKA WOTE KADRI NTAKAVYOWEZA

Ali Hassani Mwinyi (kuz.8th May 1925)
Elimu yake: Phd (Ana Phd mbili)

1. Doctor of letters from the open university of Tanzania 2012 (phd)
2.Doctor of Philosophy in bussiness Management from East African university of Kenya


Ikumbukwe kwamba by proffessional Mwinyi ni mwalimu na alisoma katika chuo kikuu cha durham kikichopo uingereza kuanzia mwaka 1954 na hakurudi Tanzania mpaka ulipofika mwaka 1962 alipoitwa kwa ajili ya kuwa Mkuu wa Chuo cha Zanzibar Teaching college kilichopo Mkoani magharibi.

Kazi na Uongozi

mwka 1963 aliwahi kuwa Katibu mkuu Wizara ya Elimu ya serikali ya zanzibar.
Mwaka 1970 alikuwa Waziri wa nchi ofisi ya Rais.
amewahi kuwa waziri wa afya,Waziri wa mambo ya ndani na waziri wa utalii.
Pia alifanya kazi kama balozi wa Tanzania nchini misri kwa miaka mitano....

Alikuwa Rais wa Tatu wa Zanzibar (Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar) baada ya Abdul Jumbe kujiuzulu mwak 1984

Kwa ile hali ya kuwa Rais wa Zanzibar Moja kwa moja sheria ilimpa nafasi ya kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania..
Aidha Nyerere alipong'atuka Mwakaa 1985 Mwinyi alichaguliwa kugombea urais Wa Tanzania.Na alishinda

800px-Mwinyi_Rais,_gazeti_la_Mfanyakazi_1985.jpg


Kwahyo akajiuzuru Nafasi ya Uraisi wa Zanzibar na cheo cha urais wa zanzibar Kikachukuliwa na Idris Abdul wakil (Ambye ndo akawa Rais wa nne wa zanzibar) huku mwinyi akiwa katawala mwaka mmoja tu...

NIRUDI KWENYE LEGACY UNAYOZUNGUMZIA
Kipindi mwinyi anachaguliwa kuwa Rais wa Tanzania
nchi ilikuwa katika wakati mbaya Baada ya kushindwa kwa mfumo wa ujamaa ambao ulitangulia kutoka kwa Mwalimu Julius kambarage Nyerere,Huku mfumo wa kibepari (capitalist) ukitupiliwa mbali na Hayati baba wa Taifa (Alikuwa na maoni mengi sana kuhusu siasa yake)

Hatari iliyosababishwa na mfumo huo
Kutokuwepo kwa bidhaa kutoka nje hasa kwa mataifa ya kibepari,Kukosa sapoti ya mataifa ya kibepari,
Pato la taifa GDP lilikuwa na ukuaji mdogo sana Kiasi cha 2.4 -2.6 % kwa mwaka, Huku jamii (Population ya Tanzania ikizidi kuongezeka) looulation rate ilikuwa 3.4% kwa mwaka hivyo uchumi ulizidi kuzorota kutokana na pato kuwa kidogo huku Population ikiwa kubwa,(Watu wa uchumi wananielewa zaidi)
Mapato ya vijiji ikiwemo vijiji vya ujamaa na Mapato ya makusanyo mjini yalishuka sana,Huduma za Jamii zikawa za shida sana kutokana na pesa kupanda Thamani kutoka katika Equavalent $1 sawa na Tsh 1 mpaka kuwa $1 sawa na Tsh 100 mpaka 500 kifupi nisielezee sana hali ya uchumi wa Ujamaa haikuwa nzuri sana..Mwalimu Alikuwa na moango mzuri ila ulishindwa kutimilka hata Uchumi katika Kilimo nako kulishuka na Deni la Taifa likazidi kuwa juu kiasi cha zaidi ya dolla bilioni 3.
Na nchi ikishindwa kukopesheka mwaka 1989 na IMF kutokana na kufata Mfumo wa ujamaa ambao uko kinyume na sera za mikopo..na Mwalimu hakutaka kuacha sera hiyo kwani ndiyo aliyoiamini

NINI MWINYI ALIFANYA
Mwinyi alifanya Reform kubwa sana ikiwemo kubadili mfumo Uliokuwepo wa Ujamaa huku akiukaribisha mfumo wa Kibepari (capitalist),
Haikuwa rahisi kwa Watu kukubali kuchange mfumo hata mawaziri wake hawakutaka ila Mawaziri Watatu walipinga mabadiliko Walikula kichwa (Walitumbuliwa).
Mawaziri waliosupport mabadiliko kwa Nguvu ni kama
Waziri Mkuu Joseph Sinde warioba,na waziri wa fedha clement msuya na kwa mwaka 1986 mwinyi alitak kunusuru uchumi hivyo aliongea upya na IMF na wakafanikiwa kumoa mkopo wa kwnza Tanzania kutoka kwao Kiasi cha Tsh $Milion 78 na sio hivyo tu wakajitokeza pia Madonor ambao waliahidi kulipa deni hilo kwa makubaliano kuwa Tanzania italipa 2.5% ya deni hilo...
Na alifanikiwa kurudisha uchumi katika hali yake
Akaanzisha Soko huria kuwa kila mtu ana haki ya kuuza na kununua bidhaa mahali popote anapofikiria (ambayo haki hiyo zaman haikuwepo)
Mwaka 1991 Akaanzisha MFUMO WA VYAMA VINGI Chini ya Jaji mkuu Fransis nyalali na kuweka uhuru wa kuongea na ndo maana hata wewe mleta nyuzi umeweza kuleta hicho ulichoandika na serikali haikufatilii..na uchaguzi wa kwnza wa vyama vingi ukafanyika 1995....Na hapo ndo ukaijua Chadema...
Na

NI MENGI SANA ALIYOFANYA NA KADRI UNAVYOVAA NGUO ZAKO UNAVYOIPINGA SERIKALI KWA KIVULI CHA UPINZANI NA KADRI UNAVYOSHUKURU NCHI YAKO KUTOKUWA MASKINI BASI NAFIKIKIRI UNGEMSHUKUR MWINYI

Ntaendelea na Mkapa na ntamalizia na Kikwete
 
Wadau nawasalimu.Ukiwa Kiongozi kitu pekee unachopaswa kuwafanyia Watu wako ni kile ambacho walikitafuta kwa muda mrefu kupitia Viongozi mbalimbali lakini walishindwa kukipata.Kwa Mfano RAIS Nyerere anakumbukwa kwa Kutupatia UHURU kuzisaidia Nchi nyingine kupata Uhuru wao leo hii ukienda Msumbiji Angola Zimbabwe Rais NYERERE Anakumbukwa sana.Rais Mandela anakumbuka Kwa kupiga Ubaguzi wa Rangi wa Makaburu kitendo ambacho kilimpelekea Kufungwa Jela Miaka mingi.Watanzania hatumkumbuki RAIS Nyerere kwa Kujenga Mashule Zahanati Barabara au Madaraja.Watu wa Afrika ya Kusini Hawamkumbuki Rais Mandela kwa kujenga Hospital Shule au Vituo vya Afya kwani Tatizo lao kubwa lilikuwa UBAGUZI wa RANGI uliofanywa na MAKABURU na ndio Rais Mandela ALIUPINGA kwa Nguvu zake zote mpaka akafungwa na hilo ndilo Watu wake na DUNIA nzima INAMKUMBUKA na hiyo ndii LEGACY ya RAIS Mandela .Hivyo basi LEGACY ya NYERERE na MANDELA ni hayo mambo na sio Shule Zahanati Madaraja waliojenga HUWEZI kukumbukwa kwa kufanya hivyo .Tanzania tumekuwa na MARAIS 5
Baada ya NYERERE nao ni
1.Rais Mwinyi
2.Rais Mkapa
3.Rais Kikwete
4.Rais Magufuli
5.Rais Samia
Marais Mwinyi Mkapa Kikwete ma Magufuli Hawana KITU/VITU vya KUWAKUMBUKA kwani hata kama Walijenga barabara Zahanati na Masoko na Fly Overs hayo mambo hayawafanyi WAKUMBUKWE kwani hata Mama SAMIA anayafanya kwa sasa na Rais Ajaye 2025 ATAYAFANYA ila sio yale ya RAIS NYERERE
Rais KIKWETE alitaka kuwapatia WATANZANIA KATIBA MPYA Katiba ambayo wamekuwa Wanaitaka kwa Miaka Mingi Katiba ambayo ingewabadilishia MAISHA yao Katiba ambayo ingepatikana naamini RAIS KIKWETE nae Angekuwa amejiwekea LEGACY ya KUKUMBUKWA kwa Kuwapatia WATANZANIA KATIBA lakini kutokana na KUSHINDWA atabaki sawa na Marais wawili waliomtangulia kwa kutokukumbukwa.Sasa hivi tuna RAIS Samia ninachomshauri asiingie kwenye MTEGO wa Watangulizi wake wa kutokukumbukwa Suala la kujenga Zahanati Madaraja Reli ni la kawaida sana kwani hata RAIS AJAYE Atajenga tu.NAMSHAURI RAIS Samia kabla ya Kumaliza KIPINDI CHAKE Awapatie WATANZANIA KATIBA MPYA na endapo Rais Samia ATAFANIKIWA kuwapatia Watanzania KATIBA MPYA hiyo ndiyo itakuwa LEGACY ya RAIS SAMIA Baada ya HAYATI BABA wa TAIFA kutupatia UHURU .
Watanzania HITAJI lao kwa Sasa ni KATIBA MPYA.Madaraja Barabara Zahanati Hospital ni Maendeleo Endelevu yapo kila siku lakini KATIBA MPYA ni Tukio ADIMU SANA.
Hii mada ni ya hovyo sana kwa mwaka huu mzima, hovyo kabisa
 
Wadau nawasalimu.Ukiwa Kiongozi kitu pekee unachopaswa kuwafanyia Watu wako ni kile ambacho walikitafuta kwa muda mrefu kupitia Viongozi mbalimbali lakini walishindwa kukipata.Kwa Mfano RAIS Nyerere anakumbukwa kwa Kutupatia UHURU kuzisaidia Nchi nyingine kupata Uhuru wao leo hii ukienda Msumbiji Angola Zimbabwe Rais NYERERE Anakumbukwa sana.Rais Mandela anakumbuka Kwa kupiga Ubaguzi wa Rangi wa Makaburu kitendo ambacho kilimpelekea Kufungwa Jela Miaka mingi.Watanzania hatumkumbuki RAIS Nyerere kwa Kujenga Mashule Zahanati Barabara au Madaraja.Watu wa Afrika ya Kusini Hawamkumbuki Rais Mandela kwa kujenga Hospital Shule au Vituo vya Afya kwani Tatizo lao kubwa lilikuwa UBAGUZI wa RANGI uliofanywa na MAKABURU na ndio Rais Mandela ALIUPINGA kwa Nguvu zake zote mpaka akafungwa na hilo ndilo Watu wake na DUNIA nzima INAMKUMBUKA na hiyo ndii LEGACY ya RAIS Mandela .Hivyo basi LEGACY ya NYERERE na MANDELA ni hayo mambo na sio Shule Zahanati Madaraja waliojenga HUWEZI kukumbukwa kwa kufanya hivyo .Tanzania tumekuwa na MARAIS 5
Baada ya NYERERE nao ni
1.Rais Mwinyi
2.Rais Mkapa
3.Rais Kikwete
4.Rais Magufuli
5.Rais Samia
Marais Mwinyi Mkapa Kikwete ma Magufuli Hawana KITU/VITU vya KUWAKUMBUKA kwani hata kama Walijenga barabara Zahanati na Masoko na Fly Overs hayo mambo hayawafanyi WAKUMBUKWE kwani hata Mama SAMIA anayafanya kwa sasa na Rais Ajaye 2025 ATAYAFANYA ila sio yale ya RAIS NYERERE
Rais KIKWETE alitaka kuwapatia WATANZANIA KATIBA MPYA Katiba ambayo wamekuwa Wanaitaka kwa Miaka Mingi Katiba ambayo ingewabadilishia MAISHA yao Katiba ambayo ingepatikana naamini RAIS KIKWETE nae Angekuwa amejiwekea LEGACY ya KUKUMBUKWA kwa Kuwapatia WATANZANIA KATIBA lakini kutokana na KUSHINDWA atabaki sawa na Marais wawili waliomtangulia kwa kutokukumbukwa.Sasa hivi tuna RAIS Samia ninachomshauri asiingie kwenye MTEGO wa Watangulizi wake wa kutokukumbukwa Suala la kujenga Zahanati Madaraja Reli ni la kawaida sana kwani hata RAIS AJAYE Atajenga tu.NAMSHAURI RAIS Samia kabla ya Kumaliza KIPINDI CHAKE Awapatie WATANZANIA KATIBA MPYA na endapo Rais Samia ATAFANIKIWA kuwapatia Watanzania KATIBA MPYA hiyo ndiyo itakuwa LEGACY ya RAIS SAMIA Baada ya HAYATI BABA wa TAIFA kutupatia UHURU .
Watanzania HITAJI lao kwa Sasa ni KATIBA MPYA.Madaraja Barabara Zahanati Hospital ni Maendeleo Endelevu yapo kila siku lakini KATIBA MPYA ni Tukio ADIMU SANA.

NAKUJA KWA MKAPA
Bwana mdogo Kama hujui mchango Wa mkapa kwa Nchi hii your Dead and gone;
Sitazungumzia Maisha yake wala elimu yake Kwa maana nahisi unayajua kwa sababu kama ni wa miaka ya 80s au 90s Nahisi utakuwa umemkuta ila kama ni wa miaka ya 2000s Basi nakushauri itafute au tafuta kitabu chake kina historia ya maisha yake..

TWENDE KWENYE URAISI NA LEGACY UNAYOITAKA WEWE

kutokana na sera za mtangulizi wake Rais mwinyi pesa Uchumi wa nchi ulipanda hivyo kuvutia ufisadi mwingi sana kwahyo Mkapa Alianzisha sera mbalimbali ikiwemo ya mapambano ya Ufisadi na Ukweli uwazi na katika jitihada za kupambana na ufisadi na uzembe serikalini ,Alianzisha wa Kamisheni ya Ufisadi, maarufu kama Tume ya Warioba, ambayo ilipelekea kuundwa kwa chombo cha kisheria kupambana na Rushwa Taasisi ya Kupambana na Kuzuwia RushwaTAKUKURU/PCCB (kipindi hicho inaitwa TAKURU/PCB),


ubinafsishaji wa mashirika ya umma,Mashirika yote yakiyoshindwa kujiendesha yalibinafsishwa ili kupnguza mzigo kwa serkali na hatimae kuongeza hali nzuri ya kiuchumi na kuongeza faida kwenye soko huria
Sera zake zilifanya Tanzania kufutiwa madeni yote na IMF na Benki ya dunia.

Mkapa ndo alianzisha na kuunda njia za utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo kwa miaka mitano (implement National Development Vision 2000 – 2005)
ambayo ndo inatekelezwa mpaka sasa,Na hata magufuli aliitekeleza kwa kuongeza miaka mitano mpka 10 ikiwemo ile ya kuingia uchumi wa kati.

Na baadae aliweka na kuanzisha taasisi mbalimbali muhimu ili kuboresha utekelezaji wa serikali katika kama

  • The National Health Insurance Fund (Mfuko wa Bima Taifa)
  • Tanzania Revenue Authority (TRA) (Mamlaka ya Mapato Tanzania)
  • Tanzania National Roads Agency (TANROADS) (Wakala wa Barabara Tanzania)
  • Tanzania Social Support Fund (TASAF) (Mfuko wa Jamii)
  • Tanzania Commission for AIDs (TACAIDS) (Tume ya Kupambana na Ugonjwa wa Ukimwi).
  • Tanzania Poverty Reduction Strategy (MKUKUTA) (Mkakati wa Kuondoa Umaskini na Kukuza Uchumi Tanzania).
  • Property and Business Formalization Program (BFFP) (Mpango wa Kuimarisha Raslimali na Biashara (MKURABITA).
  • National Business Council (NBC) (Baraza la Biashara la Taifa (BBT).
  • Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) (Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania).
Dah yaani watu walikuwa wanalipia huduma ya afya awe mfanayakazi au nani na watoto wote chini ya miaka mitano kukiwa na vifo vingi vitokanavyo na kukosa pesa za matibabu kwa watoto ila yeye kaona aanzishe bima na kuondoa tozo kwa watoto halafu Unasema hajaacha legacy ,Mtu kaona ukusanyaji wa mapato wa Zamani ulikuwa na Kasoro akaona bora Aanzishe TRA ili mapato yakusanywe vizuri,Kaanzisha TACAIDS hii imesababisha tumeweza kupambana na UKIMWI duniani Na mpaka sasa TANZANIA NI NCHI PEKEE YA KWANZA KUSINI MWA JANGWA LA SAHARA KUANZA KUTOA DAWA ZA ARV bure,Na hivyo kufanya UKIMWI kushuka Tanzania na kuongeza life expectancy (Life span) BADO UNASEMA HAJAACHA LEGACY COOME OOOOON... Mambo kama TASAF (ona maskini wanavyosaidiwa leo hii kuna maskini unaweza ukamwambia nini kuhusi TASAF) Still unasema hana legacy..
Kaanzisha TANROADS ili na sisi tusitegemee wazung.kwenye barabara zetu , na mengine mengi
Alirudisha Taasisi zote zilizobinafsishwa na serikali kipindi cha uhuru kama shule, hospitali na Vyuo na kuwapa wenyewe sehemu kama Bugando, Mazengo sekondari akairudisha kwa waanglikana ikawa St john .. Alitoa majengo ya Chuo cha Benki ya Iringa kwa Kanisa Katoliki ili kuanzisha Chuo Kikuu cha Ruaha;
Majengo ya TANESCO Morogoro hadi BAKWATA ili kuanzisha Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Morogoro.
Pia alikabidhi majengo ya Shule ya Sekondari Magamba kwa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania


SIKU NYINGINE UKIANDIKA ULICHOANDIKA HAKIKISHA HAUKO KARIBU YANGU MAANA NITAKUCHAPA VIBAO...
 
NAKUJA KWA MKAPA
Bwana mdogo Kama hujui mchango Wa mkapa kwa Nchi hii your Dead and gone;
Sitazungumzia Maisha yake wala elimu yake Kwa maana nahisi unayajua kwa sababu kama ni wa miaka ya 80s au 90s Nahisi utakuwa umemkuta ila kama ni wa miaka ya 2000s Basi nakushauri itafute au tafuta kitabu chake kina historia ya maisha yake..

TWENDE KWENYE URAISI NA LEGACY UNAYOITAKA WEWE

kutokana na sera za mtangulizi wake Rais mwinyi pesa Uchumi wa nchi ulipanda hivyo kuvutia ufisadi mwingi sana kwahyo Mkapa Alianzisha sera mbalimbali ikiwemo ya mapambano ya Ufisadi na Ukweli uwazi na katika jitihada za kupambana na ufisadi na uzembe serikalini ,Alianzisha wa Kamisheni ya Ufisadi, maarufu kama Tume ya Warioba, ambayo ilipelekea kuundwa kwa chombo cha kisheria kupambana na Rushwa Taasisi ya Kupambana na Kuzuwia RushwaTAKUKURU/PCCB (kipindi hicho inaitwa TAKURU/PCB),


ubinafsishaji wa mashirika ya umma,Mashirika yote yakiyoshindwa kujiendesha yalibinafsishwa ili kupnguza mzigo kwa serkali na hatimae kuongeza hali nzuri ya kiuchumi na kuongeza faida kwenye soko huria
Sera zake zilifanya Tanzania kufutiwa madeni yote na IMF na Benki ya dunia.

Mkapa ndo alianzisha na kuunda njia za utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo kwa miaka mitano (implement National Development Vision 2000 – 2005)
ambayo ndo inatekelezwa mpaka sasa,Na hata magufuli aliitekeleza kwa kuongeza miaka mitano mpka 10 ikiwemo ile ya kuingia uchumi wa kati.

Na baadae aliweka na kuanzisha taasisi mbalimbali muhimu ili kuboresha utekelezaji wa serikali katika kama

  • The National Health Insurance Fund (Mfuko wa Bima Taifa)
  • Tanzania Revenue Authority (TRA) (Mamlaka ya Mapato Tanzania)
  • Tanzania National Roads Agency (TANROADS) (Wakala wa Barabara Tanzania)
  • Tanzania Social Support Fund (TASAF) (Mfuko wa Jamii)
  • Tanzania Commission for AIDs (TACAIDS) (Tume ya Kupambana na Ugonjwa wa Ukimwi).
  • Tanzania Poverty Reduction Strategy (MKUKUTA) (Mkakati wa Kuondoa Umaskini na Kukuza Uchumi Tanzania).
  • Property and Business Formalization Program (BFFP) (Mpango wa Kuimarisha Raslimali na Biashara (MKURABITA).
  • National Business Council (NBC) (Baraza la Biashara la Taifa (BBT).
  • Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) (Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania).
Dah yaani watu walikuwa wanalipia huduma ya afya awe mfanayakazi au nani na watoto wote chini ya miaka mitano kukiwa na vifo vingi vitokanavyo na kukosa pesa za matibabu kwa watoto ila yeye kaona aanzishe bima na kuondoa tozo kwa watoto halafu Unasema hajaacha legacy ,Mtu kaona ukusanyaji wa mapato wa Zamani ulikuwa na Kasoro akaona bora Aanzishe TRA ili mapato yakusanywe vizuri,Kaanzisha TACAIDS hii imesababisha tumeweza kupambana na UKIMWI duniani Na mpaka sasa TANZANIA NI NCHI PEKEE YA KWANZA KUSINI MWA JANGWA LA SAHARA KUANZA KUTOA DAWA ZA ARV bure,Na hivyo kufanya UKIMWI kushuka Tanzania na kuongeza life expectancy (Life span) BADO UNASEMA HAJAACHA LEGACY COOME OOOOON... Mambo kama TASAF (ona maskini wanavyosaidiwa leo hii kuna maskini unaweza ukamwambia nini kuhusi TASAF) Still unasema hana legacy..
Kaanzisha TANROADS ili na sisi tusitegemee wazung.kwenye barabara zetu , na mengine mengi
Alirudisha Taasisi zote zilizobinafsishwa na serikali kipindi cha uhuru kama shule, hospitali na Vyuo na kuwapa wenyewe sehemu kama Bugando, Mazengo sekondari akairudisha kwa waanglikana ikawa St john .. Alitoa majengo ya Chuo cha Benki ya Iringa kwa Kanisa Katoliki ili kuanzisha Chuo Kikuu cha Ruaha;
Majengo ya TANESCO Morogoro hadi BAKWATA ili kuanzisha Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Morogoro.
Pia alikabidhi majengo ya Shule ya Sekondari Magamba kwa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania


SIKU NYINGINE UKIANDIKA ULICHOANDIKA HAKIKISHA HAUKO KARIBU YANGU MAANA NITAKUCHAPA VIBAO...
Tanzania ALIYEACHA LEGACY ni mmoja tu ni NYERERE hao wengine walikuwa wanafanya mambo ya kawaida tu hata wewe ukipewa urais unaweza kuyafanya unaweza kuvunja daraja ya surendar ukajenga Upya Legacy ya Pili bado haijapatikana ila RAIS atakayewapatia Watanzania KATIBA MPYA atakuwa nae kaacha LEGACY narudia sio Kuhamia Dodoma tena Utakumbukwa na Mwingine akiwa Rais akaturudisha dar ?
 
Hivi akili kubwa unaichukuliaje?
Kwa unataka kutuambia tangu Nyerere ang'atuke nchi ipo hali ile ile?,
Nimekutolea mifano 2 ya mambo yaliyofanywa na Nyerere na Madela hata nyerere alileta Maendeleo Makubwa sana lakini Dunia haimkumbuki kwa kujenga barabara Mashule au Zahanati vivyo hivyo na Mandela hebu niambie Hao wengine Dunia inawakumbuka kwa lipi?
 
Back
Top Bottom