Emma Lukosi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2009
- 929
- 148
- Thread starter
- #61
i love that wife of yours....:shocked:
ili muwe mnavuta ..
i love that wife of yours....:shocked:
Marahaba mkuu itabidi muhame hapo .
Hamieni manzese uzuri huko hakuna shidaTuhamie wapi?.
Weed is good....nina so many days without puffing that damn good shit.Let me go and puff myself.
Kataa ukubali mpaka hapo kwa watu wenye fikira pama tumegundua huyo mke wako mlikutana sehemu za Anasa!!
Mzee Kombo...
Siku nikivuta bangi lazima nianze na wewe..
Wenye kubonga ung'eng'e wanasema "If you can't beat them join them" Lakuongeza sina mkuu.Habari wana JF, Shikamooni wana MMU.
The beautful wife of mine smook weed.
Jamani juzi kati nimembamba mke wangu akiwa analipuliza. Tena alipo niona wala hakushtuka
kwa mapoozi akaendelea kulikoka.. ahh! mi nikazani sigara kwani huwa anapiga siku moja moja
anadai inaondoa stress na kwa sababu nilikua tungi nikazama ndani.
Leo nimepewa notes na baba mwenye nyumba kwa mke wangu kuvuta bangi hadharani (Ila hii sio ishu nitamalizana nae).
Mke wangu nikimuuliza anasema mbona wewe unakunywa?.. Kwani tatizo nini?...
Story ni ndefu sema nimeifupisha.
Tuhamie wapi?.
Habari wana JF, Shikamooni wana MMU.
The beautful wife of mine smook weed.
Jamani juzi kati nimembamba mke wangu akiwa analipuliza. Tena alipo niona wala hakushtuka
kwa mapoozi akaendelea kulikoka.. ahh! mi nikazani sigara kwani huwa anapiga siku moja moja
anadai inaondoa stress na kwa sababu nilikua tungi nikazama ndani.
Leo nimepewa notes na baba mwenye nyumba kwa mke wangu kuvuta bangi hadharani (Ila hii sio ishu nitamalizana nae).
Mke wangu nikimuuliza anasema mbona wewe unakunywa?.. Kwani tatizo nini?...
Story ni ndefu sema nimeifupisha.