Nimeletewa IPhone 13 Pro max na rafiki yangu

nina jamaa angu pale makumbusho ananunua na kuuza iphone used... naweza kukuunganisha nae uskie atainunua kwa bei gan
 
Hii simu kama hatujaletewa copy bas jina la bwana lihimidiwe[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23] iphone 13 pro max plus ya buzaView attachment 2279145
Sawa fahamu hivyo hivyo, iwe ya Buza iwe ya Yombo, utajua wewe, sasa unazungushia duara mahali ilipo reflect taswira ya mikono yangu wakati napigia picha ili?akili zingine bhana[emoji848][emoji848][emoji16] watanzania, punguzeni ujuaji. Haya nionyeshe hicho ulichokiona hapo kwenye hii picha.
 
Imagine huyo jamaa anasoma huu uzi, sijui atatuchukuliaje watanzania!
Kaoza samaki mmoja(Alepewa zawadi) unatujumlisha wote? Unahisi wote humu tungeiuza hiyo simu kama tungepewa zawadi? Mkuu epuka sana kutoa mjumuisho.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bei ya kutupa wakati we mwenyew umetupiwa
Unacheka na nani? kwa hiyo wewe leo wewe ukipewa zawadi ya Benz kwakuwa ni zawadi utauza laki 5 kwa kuwa na wewe umepewa zawadi si ndio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…