Nimelala na muathirika wa VVU

Nimelala na muathirika wa VVU

Yan watu tynawaza jinsi ya kuljenga taifa letu ww unawaza kutafuta kaswende
Acha yakukute hatuna huruma na ww
 
Nanlipiga wakati mkiandamana😂😂
1763024711291.jpg
 
VVU vijana hawana elemu yakutosha, kwa sababu mucus za uke ndo kwa asilimia 75 ndo znachangia kwenye transmission ya ugonjwa huu kwasababu hata ukifanya tendo hata kwa sekunde 30 bila mchubuko wowote bado unaweza pata VVU, kwahyo kuupata VVU haijalishi mda ulio tumia au michubuko, ila kinacho matter je unae shiriki nae anazingatia doses kwasababu, hayo mawali kati ya michubuko na mucus vina matter zaidi kama doses znatumika so kijana akapime
HAya magonjwa ni Mungu tu ndio huwa anatuepusha..
Ukifikiria umelala na wanawake wangapi na hukujua status zao
 
Acha hofu kijana. Hujapata maambukizi. Imagine wewe umecheza rafu moja tu umepagawa! Mimi Mzee wako hapa niliwahi kucheza michezo hatari kama hiyo zaidi ya 1000 na bado nilitoboa.
Hapo hata mm huwa nashangaa,,,rafu zimepigwa nyingj sana
 
Habari Wana JF

Wiki mbili zilizopita nilikutana na dada mmoja jirani yangu tukabadilishana mawasiliano
Baada ya mawasiliano Yakama siku mbili alipafahamu kwangu na akaja kunitembelea .

Kutokana na hakuna na mahusiano na ilikua usiku tulijikuta tumeshiriki tendo la ndoa ila hakukua na michubuko yeyote iliyotokea.

Jana nilimuomba tuonane tukionana barabaran ila kuna jamaa aliezaa nae alituona na alikua ananifahamu sababu Mimi na yeye nimarafiki ilasiokivile.

Jamaa alintafuta nakuniweka wazi kuhusu yule dada nakuniambia kua yeye amezaa nae ila baada yakumkuta na dawa walienda wote kupima yeye akawa mzima ila dada ndioakawa anao
Hivyo alinitahadharisha pamoja nakunionesha dawa zake alizomkuta nazo.

Naombeni ushauri zimeshapita wiki mbili nimepata hii taarifa namna yakutumia dawa zakujilinda nishachelewa je? nikae baada ya muda Gani ndionikapime na Mimi ili kujua afya yangu
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kijana acha kufananisha zinaa na tendo la ndoa
 
Habari Wana JF

Wiki mbili zilizopita nilikutana na dada mmoja jirani yangu tukabadilishana mawasiliano
Baada ya mawasiliano Yakama siku mbili alipafahamu kwangu na akaja kunitembelea .

Kutokana na hakuna na mahusiano na ilikua usiku tulijikuta tumeshiriki tendo la ndoa ila hakukua na michubuko yeyote iliyotokea.

Jana nilimuomba tuonane tukionana barabaran ila kuna jamaa aliezaa nae alituona na alikua ananifahamu sababu Mimi na yeye nimarafiki ilasiokivile.

Jamaa alintafuta nakuniweka wazi kuhusu yule dada nakuniambia kua yeye amezaa nae ila baada yakumkuta na dawa walienda wote kupima yeye akawa mzima ila dada ndioakawa anao
Hivyo alinitahadharisha pamoja nakunionesha dawa zake alizomkuta nazo.

Naombeni ushauri zimeshapita wiki mbili nimepata hii taarifa namna yakutumia dawa zakujilinda nishachelewa je? nikae baada ya muda Gani ndionikapime na Mimi ili kujua afya yangu
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Acha uwoga Pimbi Wewe. Katika historia yangu nimeshalala na Mademu wenye Ngoma Watatu kwa miaka tofauti bila kuvaaa Condom kwani siipendi inaninyima Utamu wa Mbunye, ila hadi leo kila nikipima HIV ni mzima wa Afya.

Kama baada ya Kumtomba huyo Demu ulipojikagua katika Bolo lako hukuona Mchubuko wowote ule na hukupigana nae Denda au hukuingia Chumvini mwake jua 100% hujaathirika ila kama ni Kinyume chake jua umeshaupata na Pole sana.

Imeisha hiyo........!!!!!!!
 
Acha uwoga Pimbi Wewe. Katika historia yangu nimeshalala na Mademu wenye Ngoma Watatu kwa miaka tofauti bila kuvaaa Condom kwani siipendi inaninyima Utamu wa Mbunye, ila hadi leo kila nikipima HIV ni mzima wa Afya.

Kama baada ya Kumtomba huyo Demu ulipojikagua katika Bolo lako hukuona Mchubuko wowote ule na hukupigana nae Denda au hukuingia Chumvini mwake jua 100% hujaathirika ila kama ni Kinyume chake jua umeshaupata na Pole sana.

Imeisha hiyo........!!!!!!!
Hakika Tuoeni tuu hii kupiga Kila Dem nihatari
 
Kwanza demu huyo anaoneka anatumia dawa zake vizuri maana yake anakuwa viral load ndogo kwenye mwili wake un detectable .... ndo maana bwana wake wa kwanza alitembea nae hakupata ukimwi so hata wewe nakupa 80% hautapa ukimwi sababu ya dalili za huyo dada kufuata masharti ya kutumia dawa zake vizuri

Note: chance ya kuugua na ukimwi hapo ni ndogo sana
Basi ngoja niachane na maswala ya kupima nisije poteza ela na muda wangu bure
 
Huu upumbavu wa kuuza mechi huwa mnapata wapi. Hivi hamnaga hata wategemezi muhurumie kidogo afya zenu.
Hakuna usenge kama kuishi na wasiwasi pengine umeshaukwaa
 
Huu upumbavu wa kuuza mechi huwa mnapata wapi. Hivi hamnaga hata wategemezi muhurumie kidogo afya zenu.
Hakuna usenge kama kuishi na wasiwasi pengine umeshaukwaa
Ikisimama panda
 
"Hata ingekuwa 92 aisee sivai KITO ,OCG KAzeze naDrive beetle ,tinted mziki MZITO".
 
Acha uwoga Pimbi Wewe. Katika historia yangu nimeshalala na Mademu wenye Ngoma Watatu kwa miaka tofauti bila kuvaaa Condom kwani siipendi inaninyima Utamu wa Mbunye, ila hadi leo kila nikipima HIV ni mzima wa Afya.

Kama baada ya Kumtomba huyo Demu ulipojikagua katika Bolo lako hukuona Mchubuko wowote ule na hukupigana nae Denda au hukuingia Chumvini mwake jua 100% hujaathirika ila kama ni Kinyume chake jua umeshaupata na Pole sana.

Imeisha hiyo........!!!!!!!
Hahahaha nimecheka hapo eti umeshalala na wanawake wenye ngoma
 
Back
Top Bottom