Siyo kweli,ni msongo wa mawazo tuWasiwasi hauwezi pungua mpaka atakapopima....
Chanzo cha msongo wa mawazo ni kutokujua hali yake ya maambukizi, suluhisho ni kupima.
Nipe utofaut wa msongo wa mawazo wenye uhalisia na msongo wa mawazo usio na uhalisiaChanzo cha msongo wa mawazo ni kutokujua hali yake ya maambukizi, suluhisho ni kupima.
Tulia kwanza matatizo ya operation yaishe usahau kidogo jitahid kujichanganya kwa watu,,,pili kupata ngoma ni process ndefu inategemea na frequency ya sex,,usaf baada ya singe sex,,anatomy ya vagina,kias cha maji kwenye k ya dem,,pia uimara wa ngoz yako on penis,,,kwanza huyo dem immunity iko vizur kuish miaka yote hiyo bila dalili ni Bahat,,,mkuu uwezekano wa kuwa na ngoma ni 50%Naandika huku hali yangu ya akili ikiwa mbaya sana, mchumba wangu niliyeishi nae kwa miaka mi 3 amejifungua jana kwa upasuaji, na mwezi November mwaka huu ilikuwa tufunge ndoa.
Ndugu jamaa na marafiki wote tushawatangazia na vikao viwili vya ndugu kujiweka sawa vishafanyika, nimeenda leo asubuhi nimekutana na habari tofauti kuwa mke wangu ni MUATHIRIKA na kibaya ni kwamba alizaliwa nao.
Nimemuuliza kwanini hakuwahi kuniambia tangu mwanzoni, anasema na yeye alikuwa hajui, kesho na mimi nataka nikapime kama hospital 5 hivi ili nijue hali yangu, mwenye lolote la busara naomba anishauri na kunipa moyo, hivi inawezekana majibu ya kesho yakaniacha salama kweli?
Kubwa nawakumbusha wote kamwe usirudie kosa nililofanya mimi la kumwamini huyu mwanamke, tayari nimeshafanya kosa naomba nisilaumiwe.
Nishaurini vizuri nifanyaje kwa sasa, bado sijamwambia ndugu wala rafiki yeyote juu ya hili, nasubiri nipime kwanza ili nijue hatima yangu, nikipima nitareta mrejesho kwa litakalokuwa nimelipata huko.
Ahsanteni
Nilijua tu.... Ukitokea ktk Uzi kama Huu lazima utatia HEKIMA NZITO.HAKUNA UKIMWI wazungu wanawadanganya sana,,,,
Kweli hii ndio JF, kuna wataalamu wa kila aina.Ngoja nikuambie ndugu, Ukimwi upo na unasababishwa na lishe duni tu pamoja na matumizi mabaya ya mwili kama Pombe, ngono nyingi, na baadhi ya dawa za hospitali ukizitumia unapata Ukimwi.