Nipo chuo mwaka wa pili semister ya mwisho mwezi wa 1 finally tarehe ishirin naa hiiv nikifanya vizuri utabaki mwaka mmoja tu yani semister 2. Jamani sijui nitakuwa na shetani gani mwili umekuwa mzito!! Akili nzito kila kitu naona tabu tu nimekuwa wa kukata tamaa muda wote juu ya kusoma, nawaza kama niishie miaka miwili hii hii kwani nipumzishe akili kwani ila nikifikilia tena kitaa life gumu!!
Na hii imesababishwa na kuwa na mahusiano na somebody tumebreak up yani amekuwa kama chanzo ya akili yangu kuvurugika maana most of the time na concentrate na mawazo tu.
Na hii imesababishwa na kuwa na mahusiano na somebody tumebreak up yani amekuwa kama chanzo ya akili yangu kuvurugika maana most of the time na concentrate na mawazo tu.