Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,523
- 27,019
Endelea kutumia kinga.
Mda si mrefu chanjo ya ukimwi itaanza kutolewa afrika,
Wameanza kufanya majaribio kwenye maabara ni jambo jema
Hii kauli huwafariji sana.
Endelea kutumia kinga.
Mda si mrefu chanjo ya ukimwi itaanza kutolewa afrika,
Wameanza kufanya majaribio kwenye maabara ni jambo jema
Mwambie wote kwa pamoja mwende mkapime, majibu yatakapo toka yeye atajua au ataamua nini cha kufanya!Mimi ni kijana/mwanaume ninaeishi na VVU kwa muda mrefu sasa hivi nimekua nina mahusiano na binti asie na maambukizi na kwa sasa kwa hakika ninashuhudia mapenzi ya dhati katika historia ya maisha yangu.
Aisee huyo jamaa yako ajengewe sanamu hapo chamwino, huko ni kubet maisha ..Ukimwi nimeushanga singida .jamaa angu mmoja alikuwa na mausiano na bint ambae alizaliwa na vvu jamaa alishindwa kbsa kujizuia nilimziii Sana mshikaji wangu asifanye bila Kinga ila wapi yey anadai kuwa awezi mchibua ...jamaaa alimbandua yule mtot Zaid ya Mara tatu mpk tulisafiri nae kwenda Arusha na kuliwa mm nikajuwa jama angu atakuwa nao ila wapi ..amekuja kupima Mara kadh hmn kitu ..ndio akaniambia ikiwa anatumia dawa vxr hawez kuambukiza
Kibongo bongo tukiambizana ukweli kuhusu maambukizi ya Ukimwi tunanyanyapaana mno!Kwanini
Mweleze ukweli kuwa una ngomaMimi ni kijana/mwanaume ninaeishi na VVU kwa muda mrefu sasa hivi nimekua nina mahusiano na binti asie na maambukizi na kwa sasa kwa hakika ninashuhudia mapenzi ya dhati katika historia ya maisha yangu.
Changamoto; kwa muda amekuwa akitaka mimi na yeye tukutane kimwili nikawa namtolea nje sasa nahisi imefika hatua ataanza kuhisi mimi sina uwezo wa jogoo kupanda mtungi, shida ni kwamba hajui hali yangu ilivyo na kukutana nae faragha ni kitu ambacho kwangu sioni tatizo kwa sababu tunaweza tumia kinga.
Lakini kinachonipa mawazo ni kwamba yeye anasema hapendi kutumia kondomu kwa sababu zinapunguza ladha na Mimi moyo wangu na akili yangu vinasita sana naogopa sana kumuambukiza na TUNAPENDANA SANA.
NIFANYE NINI KWENYE HIKI KISANGA?
Mimi ni kijana/mwanaume ninayeishi na VVU kwa muda mrefu sasa hivi nimekua nina mahusiano na binti asiye na maambukizi na kwa sasa kwa hakika ninashuhudia mapenzi ya dhati katika historia ya maisha yangu.
Changamoto; kwa muda amekuwa akitaka mimi na yeye tukutane kimwili nikawa namtolea nje sasa nahisi imefika hatua ataanza kuhisi mimi sina uwezo wa jogoo kupanda mtungi, shida ni kwamba hajui hali yangu ilivyo na kukutana nae faragha ni kitu ambacho kwangu sioni tatizo kwa sababu tunaweza tumia kinga.
Lakini kinachonipa mawazo ni kwamba yeye anasema hapendi kutumia kondomu kwa sababu zinapunguza ladha na Mimi moyo wangu na akili yangu vinasita sana naogopa sana kumuambukiza na TUNAPENDANA SANA.
NIFANYE NINI KWENYE HIKI KISANGA?
TUMIA CONDOMMimi ni kijana/mwanaume ninayeishi na VVU kwa muda mrefu sasa hivi nimekua nina mahusiano na binti asiye na maambukizi na kwa sasa kwa hakika ninashuhudia mapenzi ya dhati katika historia ya maisha yangu.
Changamoto; kwa muda amekuwa akitaka mimi na yeye tukutane kimwili nikawa namtolea nje sasa nahisi imefika hatua ataanza kuhisi mimi sina uwezo wa jogoo kupanda mtungi, shida ni kwamba hajui hali yangu ilivyo na kukutana nae faragha ni kitu ambacho kwangu sioni tatizo kwa sababu tunaweza tumia kinga.
Lakini kinachonipa mawazo ni kwamba yeye anasema hapendi kutumia kondomu kwa sababu zinapunguza ladha na Mimi moyo wangu na akili yangu vinasita sana naogopa sana kumuambukiza na TUNAPENDANA SANA.
NIFANYE NINI KWENYE HIKI KISANGA?
Wewe ni jasiri sana. Ulizaliwa nao au ilikuwa ajali za ujana?WAHESHIMIWA NIMESOMA MICHANGO YENU NINAWAELEWA SANA KWA MAANA CHANYA
KUNA WALIOULIZA KAMA NILIWAHI KUA NA FAMILIA JIBU NI HAPANA NA KWA SASA NINA MIAKA 26
KUHUSU VIRAL LOAD BADO SIJAFIKIA LEVEL YA KUA UNDETECTABLE ILA NAFUATA VYEMA DAWA