Nimekuwa mtumwa wa wanawake

Nimekuwa mtumwa wa wanawake

Hii inaitwa kujiendekeza, naona ajabu hata shetani hujamsingizia pia,
Katika dunia hii ukitaka Kila kitu kisikupite basi ndio chanzo kikubwa cha kumuasi mungu,
Kuna kipindi nilitaka kukaribia rekodi zako kwa mbali, Lakini niliwahi kustuka, hatua nilizofanya Kwanza siendi sehemu yyte ambayo itanikutanisha na wanawake hovyo, nilifuta social media zote situmii, fb, insta, badoo, na nyingine nyingi zinazoleta sababu ya kuchat na wanawake hovyo,
Pia nilipoowa nikaamua kuridhika na mke wangu tu,
Kwa sasa nina miaka mingi sana nimeweza kucontrol hali hiyo,
Kingine lazima ujenge tabia ya kuwahi kurudi home, usigawe namba yako hovyo, jitahidi sehem nyingi ukitoka kwenda kwenye starehe beba mkeo muende wote,
Jiwekee ahadi ya kutokulala nje hata kama ukichelewa kurudi home Lakini rudi tu na ulale home, kama utakuwa mji wako,
Ondoa kabisa list ya marafiki wenye akili kama ulizonazo sasa,
Hapa nimepata kitu haswa kwa kuwa na wewe umepitia hali hii, umenipa kitu kikubwa sana
 
Pole sana kwa kuwa mtumwa. La msingi ni wewe mwenyewe kuamua kwa dhati ya moyo wako kuacha na si kujidanganya mdomoni. 1. Tumia muda mrefu kukaa na watu unaowaheshimu watakusaidia kwani utaona aibu kuzungumza ujinga wako.
2. Pili, piga magoti omba msamaha kwa MUNGU na uwe nadhiri ya kuacha.
3. Ukishindwa kabisa kuwa unaongozana na shemeji yako wa kiume unayemheshimu muda unapokuwa mbali na mkeo.
Umenipa somo zito mkuu, ubarikiwe
 
Sioni ubaya wowote.si hela yako ndo inakuzuzua? Filisika ndo utawajua wanawake. Hata hukumbuki kwamba ulitoswa huko nyuma kwa ufukara wako.

Endelea kupiga show sana, zitakoma zenyewe kutokana na umri wako au utakapofilisika
hayo masimango sasa mkuu wangu
 
Mkuu ingekua unafanya mara moja wenda msaada wa kipsychology ungekusaidia...ila inavooneka una pepo la uzinzi,unahitaji msaada wa kiroho haraka sana kabla mwezi huu hujaisha....
 
Kwa kweli nimefurahi sana kusikia matatizo uliyonayo kwani hata mie nina tatizo hilo hilo.
Ki umri nina miaka 56 nina watoto na wajukuu, tatizo langu pia ni kuwa kila mara nimekuwa nikiwazia wanawake tu, kiukweli nawatamani sana hasa wanawake wenye matako makubwa na walio weupe.
Niko radhi kumfuatilia hadi nimpate, bahati nzuli ni wanawake wachache sana huwa wananikataa.
Ndugu zangu nami naomba mnisaidie mawazo nifanyeje ili niachane na kuwatamani wanawake maana umri umeisha kwenda lakini pepo wa kina mama haunitoki!!!
mkuu wewe si mtu mzuri maana umefurahi kusikia matatizo yangu, ila dah! Kumbe tupo wengi
 
Mrudie mungu!!! Kila mtu ana addiction yake,pole mkuu na mimi kuna kitu nimekuwa addicted nacho nashndwa kuacha though kinanitesa,ila kikubwa ni tusiendekeze starehe za muda mfupi, miili yetu ndo sehemu pekee tunamoishi,kwa hyo tusiitese kwa madawa ya kulevya,pombe,sigara na ngono n.k.by the way majuto ni mjukuu.

Ushauri wa jumla:baadhi ya vitu vina addiction so its better not to try them.
 
Mkuu jamaa miraba mnne na ffu kutengo cha doria kakulizia???
Hapana yule msichana sikujua kama kaolewa na hakuniambia kabla japo mda mwingi alikuwa anakuwa anajificha ficha tukiwa wote na kuhimiza gari nifunge vioo, nilipojua namuibia askari nilimwacha siku hiyo hiyo.....hata hivyo nilishakula vyombo mara tatu kwake
 
Mkuu ingekua unafanya mara moja wenda msaada wa kipsychology ungekusaidia...ila inavooneka una pepo la uzinzi,unahitaji msaada wa kiroho haraka sana kabla mwezi huu hujaisha....
Nami nakubaliana na maneno yako mkuu, nifanyeje?
 
Hii inaitwa kujiendekeza, naona ajabu hata shetani hujamsingizia pia,
Katika dunia hii ukitaka Kila kitu kisikupite basi ndio chanzo kikubwa cha kumuasi mungu,
Kuna kipindi nilitaka kukaribia rekodi zako kwa mbali, Lakini niliwahi kustuka, hatua nilizofanya Kwanza siendi sehemu yyte ambayo itanikutanisha na wanawake hovyo, nilifuta social media zote situmii, fb, insta, badoo, na nyingine nyingi zinazoleta sababu ya kuchat na wanawake hovyo,
Pia nilipoowa nikaamua kuridhika na mke wangu tu,
Kwa sasa nina miaka mingi sana nimeweza kucontrol hali hiyo,
Kingine lazima ujenge tabia ya kuwahi kurudi home, usigawe namba yako hovyo, jitahidi sehem nyingi ukitoka kwenda kwenye starehe beba mkeo muende wote,
Jiwekee ahadi ya kutokulala nje hata kama ukichelewa kurudi home Lakini rudi tu na ulale home, kama utakuwa mji wako,
Ondoa kabisa list ya marafiki wenye akili kama ulizonazo sasa,
Word
 
Hiyo ni addiction sawa nakupiga punyeto inatakiwa upate ushauri wa kisaikolojia.

Ukishazoea kutoa manii kwa njia hizo inakua vigumu kidogo kuacha kirahisi
 
Pole sana jamaa teh teh, imebidi nicheke tu maana umenikumbusha mkasa mmoja.

Ngoja nikusimulie mkasa huo inawezekana itakusaidia.

Wakati nasoma Advance nilikuwa nakaa kwa kaka yangu, sasa bro alikuwa na chumba kimoja kapanga halafu kaoa, ikabidi niwe nalala kwa jilani

Huyo jilani alikuwa hajaoa, na Bahati nzuri alikuwa na chumba na sebule. So tukawa tunalala sebuleni na Mdogo wake.

Huyu jamaa alikuwa na Tabia mbaya sana kama yako hii, ilifikia hatua akawa anatembea na wanawake zaidi ya watatu kwa siku (huwa nashangaa hadi sasa nguvu alizonazo huyu mtu)

Kilichotokea, usiku akileta demu hatulali, maana hajali anafanya tu hata wadogo zake tukiwa haujalala, ikabidi tuwe tunapiga chabo na Mdogo wake, tayari akawa ametuaffect kwa kiasi kikubwa hasa Mdogo wake maana alikuwa ni primary kipindi hicho.

Jamaa alikuwa hachagui, analeta mimama, visichana, wake za watu, mabibi, mpaka wengine hawaeleweke, yaani tulijionea aina na aina na Bahati mbaya jamaa alikuwa hazimagi taa chumbani kwake.

Nije kwenye point, siku moja mama yake mzazi alikuja kumtembelea, Bahati mbaya sana huyo mama naye alikuwa mcharuko, alikuwa na kijana ambaye alidai mpenz wake, lkn kijana mwenyew alikuwa ni Mdogo kuzidi mtoto wake, huyo mama ilibidi akae chumbani na huyo the so called mpenz wake, sasa mtoto wake naye akaja na mama dizaini ya mama yake, inabidi ulale sebuleni na sisi tukalala kwenye makochi, you know what happened , huku mama analia jamaa anakula mzigo, hapa napo mtoto analiza... Hapakulalika siku hiyo as if walikuwa wanaambiana tuanze, itbwas horrible.

Asubuhi kulipokucha aibu zimewajaa, hawajui wafanye nin, MTU na mtoto wake.

Point yangu ya msingi ni kwamba mwisho wa haya mambo ni aibu, kama hutachukua hatua sasa utakuja kuaibika, either kwa magonjwa ya zinaa ama aibu kama hizi.

Hadi sasa ninavyokueleza jamaa alihama getting kwake na mama naye hakuonekana kwa aibu ile. Mdogo wake jamaa akaoa akiwa darasa LA saba kwa kuwa affected na vitendo vya kaka ake.

Ni tatizo kubwa sana ulilonalo asee litakuletea aibu, wake up uko kwenye danger zone.

Hata kama story hii umetunga lakini kuna watu wa type hii ambayo mm nimewashuhudia
Ilifikia kipindi jamaa wakataka wamchome moto kwa kuwa alikwisha tembea na wamama wote walikuwa wamepanga karibu yake mpaka Shemeji yangu mke wa bro alimpitia. Ni kama alikuwa anatumia Dawa, kazi yake yenyewe ilikuwa uDJ tu. Stop it from the moment unaisoma comment hii.
 
Unapokuwa na MKE mtulivu hana habari na wanaume wengine bali NI wewe TU na anakupenda kwa DHATI awe MZURI au MBAYA hastahili kuonewa , kunyanyaswa , kumdhihaki , kufedhehesha nafsi yake au kumdanganya na kuchezea HISIA zake jiandae kuja jutia maisha yako na tayari nafsi yako imeanza kukusumbua, sasa kama umalaya unaoufanya unaweza kuacha basi acha mara moja kwa kuwa naona anguko kubwa sana mbele yako kama utapuuzia, na machozi ya mwanamke yakidondoka jiandae kwa mikosi na nuksi.. Tubu na badilika mkuu na kubadilika inahitaji dhamira ya kweli kutoka nafsini its not too late, hakuna jambo lisilo na jawabu..........
 
Hii swala la umasikini huko nyuma tutokako huja na nguvu kubwa sana mbeleni......
Unaweza jikuta unakuwa mtu wa kugonga mademu hasa wale waliokutosa enzi hizo....
Kugonga wale waliokuwa wanaonekana classic kwako....
Kuwa mchoyo wa kutoa vitu kwa jamii hasa msaada wa hela....kwan unawaza mbona ww ulikuwa na shida hukusaidiwa.......
Nawaza tu kwa sauti.....wale wa masaki mtupe xperience yenu after kuanza maisha huwa inakuaje kwenu by basing jwa hivyo vipengele
 
Kwa kweli nimefurahi sana kusikia matatizo uliyonayo kwani hata mie nina tatizo hilo hilo.
Ki umri nina miaka 56 nina watoto na wajukuu, tatizo langu pia ni kuwa kila mara nimekuwa nikiwazia wanawake tu, kiukweli nawatamani sana hasa wanawake wenye matako makubwa na walio weupe.
Niko radhi kumfuatilia hadi nimpate, bahati nzuli ni wanawake wachache sana huwa wananikataa.
Ndugu zangu nami naomba mnisaidie mawazo nifanyeje ili niachane na kuwatamani wanawake maana umri umeisha kwenda lakini pepo wa kina mama haunitoki!!!
astraghafitululah
 
Back
Top Bottom