Nimekuwa Kituko Ofisini....

wasamehe hao wadada, si unaona hali ya hewa hii? Sio kosa lao....
 
Nishakufahamu kumbe tunafanya kazi pamoja. Natamani niku-itroduce kwa JF members lakini naheshimu sheria za Jamii Forums sitaki kupigwa BAN.
 

Kwa mawazo yako wewe unadhani ni kipi walichokidhani ambacho kiko tofauti na ulivyodhamiria ?
 

ngoja niwajibike kwa kununua tenga zima tukatiane, huenda huu utani utaisha....!
 
Nishakufahamu kumbe tunafanya kazi pamoja. Natamani niku-itroduce kwa JF members lakini naheshimu sheria za Jamii Forums sitaki kupigwa BAN.

Bora umeliona hilo mapema maana PAW na wenzake wako macho..
 
Kuna siku naongea kwenye serious meeting, ofisi ngeni hata siwaju. Nikasema neno 'unakaza hapa', nilijuuta! Mi sipendi kiswahili kwa hili tu!
 
Kuna siku naongea kwenye serious meeting, ofisi ngeni hata siwaju. Nikasema neno 'unakaza hapa', nilijuuta! Mi sipendi kiswahili kwa hili tu!

ha ha haaah!! Kiswahili bwana, kinachanganya kweli...
 

Ha ha haaaa!!! Hii ni fedheha kweli kweli.
 
katavi kumbe ni wewe,
kwanini haukupokea tena alipokukatia.
 
Kuna siku naongea kwenye serious meeting, ofisi ngeni hata siwaju. Nikasema neno 'unakaza hapa', nilijuuta! Mi sipendi kiswahili kwa hili tu!

Mbona hata hapa JF hayo yapo?

Mmesahau ule uzi wa yule jamaa aliyeandika.... " Leo nimenusurika kuliwa kwenye tiGO pesa...."

Ile thread kwa dakika kumi page ya kwanza ilijaa! Sasa uliza hizo komenti zao.. "badili heading","nimekuja mbiombio nikidhani...", yaani siku ile nilishangaa sana!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…