Nimekuwa Kituko Ofisini....

Nimekuwa Kituko Ofisini....

Katavi

Platinum Member
Joined
Aug 31, 2009
Posts
42,099
Reaction score
12,919
Juzi baada ya saa za kazi, nikiwa naondoka ofisini nilikuta akina dada wa hapa ofisini getini wakinunua machungwa. Nikamuomba dada mmoja kwa kumwambia naomba "Tukatiane" chungwa aliloshika mkononi. Ajabu watu waliosikia waliangua kicheko. Sasa imekuwa kero kila mtu anayeniona ktk korido za ofisi hasa wasichana salamu zao huwa "Tukatiane", hata nikiwa mbali mijitu inapaza sauti "TUKATIANE"
 
Hahahaaa sasa si uende au ulikuwa unatania?
Hahahaaaa
Kataviiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nenda mka......com
 
Hahahaaa sasa si uende au ulikuwa unatania?
Hahahaaaa
Kataviiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nenda mka......com

Hahahahaah!! Mimi niliomba tukatiane chungwa, kitu alichotekeleza yule dada.
 
Ulifanya makusudi. Mwanaume mbaya wewe!!
 
oooh my god.katavi kumbe tunafanya wote.!!!!!!!!
kumbe huku ndo ndo unajiita katavi.
Hahahaaaa mi nilijikausha tu wewe unamshtua mapema.....?
Hahahaaaaaa Katavi we Noma aisee.....
Sikujua ila nilikuwa najua ni mwanaJF ila jina ndo sikujua unatumia nini....Lol
weraaaaaaaaaaaaa
 
Ulifanya makusudi. Mwanaume mbaya wewe!!

Wala sikufanya makusudi Hus. Baada ya waliosikia kucheka ndipo nikagundua, ikabidi niigize kuwa nilidhamiria. Hapo ndio nilifanya kosa......sijui nianze kutembeza kipigo!
 
Midume yenyewe inamtania yule dada aliyenikatia chungwa.

ok mkuu!kwa hiyo midume yote akiwemo erickb52 wanataka wakatiane na yule dada,na wadada wote akiwemo cheusimangala wanataka wakatiane na wewe?kinachokushinda nini sasa mtoto wa kiume?si uwajibike!kawanunulie tenga zima la machungwa tandale mkatiane mkuu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom