Nimekutana uso kwa uso na jirani akichungulia nyumbani kwetu 😒

Nimekutana uso kwa uso na jirani akichungulia nyumbani kwetu 😒

IMG_7161.png
Binti wa chai kila day
 
Huyu jirani yetu ni baba ni mtu mzima, tumepakana naye, na mara nyingi mida ya jioni anapenda kukaa kibarazani kwake juu ghorofani, na tushamzoea hivyo.

Usiku wa leo niko narudishia mapazia, ghafla namuona na binoculars (zile za kuonea mbali) ameelekeza huku kwangu anatuangalia na baada ya kuniona wala hajashtuka ameendelea tu kuangalia.

Sasa sijaelewa alikua anafanya vile kwa lengo gani, tumeongea na mtoto wake kwa simu ili amuulize maana niko mwenyewe na vijana wadogo tu na sikutaka kwenda hapo kwake usiku.

  1. Ingekua wewe kwenye hii situation ungefanyaje?
  2. Na vipi ushawahi kua na jirani ambaye ni kipengele? ilikuwaje ?
Kwanza unavomuona ulikua umevaaje??Tuanzie hapo.
 
Kwani miaka 75 ndio haifanyia kazi eeh 😎😎

Chabo ina raha lake, ukuje ujaribu usisikie la kusimuliwa mpendwa
Kuna washkaji walkuwa wanapenda kwenda karbu kwenye kigrocery flan uchochoroni wanapiga story. Kumbe bhana mamaa wa grocery pale akitaka kufunga usiku lazima ambless mteja wa mwisho so masela walkuwa wanatega kuskilizia milio tuu.
 
Kuna washkaji walkuwa wanapenda kwenda karbu kwenye kigrocery flan uchochoroni wanapiga story. Kumbe bhana mamaa wa grocery pale akitaka kufunga usiku lazima ambless mteja wa mwisho so masela walkuwa wanatega kuskilizia milio tuu.
😅😅 Ka ugonjwa kabaya sana hakooo.. Mie pia napenda sana, kusikia mtoto akitombwaaa alafu jamaa ampatie Yale makelele huwa natamani kucheka, ila huwa naishia kupia salutee kabisaaa Kwa mwambaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom