Nimekutana na matapeli leo asubuhi

Nimekutana na matapeli leo asubuhi

Wangekutoa marinda wewe fara Kisha ndugu zako wakaisingizia CCM kuwa inateka watu.


Ukipewa Dili la pesa za chapu achana nalo dk hiyo, utakujwa kuokotwa mto msimbazi wamsingizie bashite
 
Unapanda hadi gari utakuja kudinywa mangi!!! Wangelock gari wakakupeleka chimbo je?
Mjini hapa shauri yako.
Kukubali tu kwenda sheli ni uzembe.
watu mna hasira sana sjui shida ni nn [emoji28] kwan mkiwasilisha hoja kwa upole siinaeleweka
 
Back
Top Bottom