Nimekutana na malaika

Status
Not open for further replies.
Bado tupo wengi sanaaaa, kuomba pesa haimaanishi hatuwapendi jamani. Ni shida tu ndio hazina adabu, mtuvumilie tu na mzidi kutupatia pesa. Tunawapenda sana na mbarikiwe kila mtoapo. Amen.
Hahaha madame bwana " kuna wengine sio kwamba wanashida " hapana ila wana arosto ya kuomba omba " ..... anakuomba leo pesa unampa za kutosha tu ...baada ya siku mbili anakuomba tena " sijui huwa wanahisi kuwa tunazichapisha !!?
 
Hahaha madame bwana " kuna wengine sio kwamba wanashida " hapana ila wana arosto ya kuomba omba " ..... anakuomba leo pesa unampa za kutosha tu ...banda ya siku mbili anakuomba tena " sijui huwa wanahisi kuwa tunazichapisha !!?
Kuna mmoja nlienda kutoa photocopy nikampa
 
Mkuu hawa viumbe usiwaamini ...

Mpaka leo sir god bado anasolve equation za kuweza kuwaelewa vizur hawa viumbe
Sawa chief "... nilichokifanya hapa nikumpatia Wife to be " credit zake kutokana na jinsi anavyo nistaajabisha na tabia zake za kupendeza " ... na ni busara kumsifu mtu pale anapofanya vizuri " ... Akifanya vibaya ruksa kumkosoa pia " ili ajirekebishe" ... Amekuwa akiniambia haya maneno mara nyingi pia " hakika ana staajabisha
 
Wanafikiri tunapoomba ni kazi ndogo, tumejitoa kweli. Wasioomba wanaugulia tu kimya kimya ila wanataka na ukiwapa hawakatai. Hivyo wawe wanajiongeza tu.
Hahaha ....woiiiiiiii
 
Et kuitawala mbingu na ardhi ....

Ahahaha mtani umenichekesha sana ...

So unanitawala hadi mimi ..
Ahaha mkuu bwana ...

Ila sio mbaya ...

Nipe namba yake
Hahaha "... shikamoo mkuu

Namba yake hiyo Imei # 078981778 Samsung Galaxy corea
 
kuwa na mahusiano na mwanamke asiyeomba pesa ni bora kuwa peke yako kwa maana hatahamasisha kichwa changu kutafuta pesa kwa bidii kwa maana cha mmoja ni mmoja na wawili ni wawili

hongera mkuu kwa kumpata moyo uliyemridhia
 
hearly tatizo lenu msipoombwa hela mnaenda kutoa kwingine, mna ile self esteem pride.

Kuombwa pesa si tatizo, inategemea na pesa ya nini mimi siwezi omba pesa ya saloon, sijui nguo ila nkiomba pesa ni kwa ajili ya mambo ya maendeleo.
Ewaaaa " agiza makange naja kulipa "... sasa eti wakuta mwanamke anaomba hata hela ya kusuka " jamani jamani " hata hela ya kusuka mtu inampiga penalty " !!! Aisee hilo ni jipu
 
Hongera binamu!
I LOOOOOVE IT !
its gud seeing people in love!
ENJOY aisee, mapenzi kitu kizuri sana! Ukipata mtu anaupa moyo wako amani ya kiwango hicho just sail bana!
TUNAISHI MARA MOJA TU!
haina REHARSAL. HAINA MARUDIO!
it is an ACTUAL PERFOMANCE!
 
Ila mleta uzi bwana!! Ungeandika tu umempata asieomba pesa maana ndio kipimo mnachotumia kupima upendo. Haya.
Hahaha mkuu kuna ule uzi wako " unazungumzia umuhimu wa wanawake kuwa wasaidizi kwa wanaume " uliongeaga point zilishiba sana mule " kuanzia siku ile nikakuvisha manyota kibao " nashangaa leo waniangusha " sijui umekula maharage ya wapi wewe !!?
 
Sijui nani aliwadanganya kuwa tukiwaomba pesa basi hatuwapendi!!!!
Hahaha hakuna anayependa kuombwa ombwa pesa hovyo aisee ".... kuna siku Mama Sabrina aliombwa 10k tu huko na member wa Jf " daahh aliliporomosha gazeti humu limejaa kichambo cha kufungia mwaka wacha wamchambe jamaa wawatu " hahaaa " Imagine 10k tu imezua taharuki na kuifanya mpaka jf ikasimama " ...what if ingekuwa 100k !!?
 
mie siwez na sipend kuomba ila ukinipa nashukuru mno mno! ila nikikuona ww mbinafsi nitakushangaza!sipend men mbinafsi kwasabb mm ubinafs siuez..
Utanifaa kuwa mke wa pili
 
But nikuchallenge kidogo binamu!
Mpenzi wako kukuomba hela sio sign ya kutokukupenda, and the vice versa is true!
I for one, sishindwi kufanya chochote ninachotaka miongoni mwa ninavyoombea hela!
Naona tu raha kupewa hela na mwanaume wangu!
Nisipoomba doesn't mean sitaki kukuomba, wakati Fulani najua huna na its been tight with you!
lakini naweza nikaibuka vile vile nikakupiga msumari!
SO USIMIX VITU HAPA BINAMU!
all in all hongera sana!
 
Ni kweli mwaya we chukua kile unachokiona, kama kuna mengine nyuma ya pazia itajulikana tu. Siku zote mimi huwa napenda kuwaza positive...nachukua kile anachonionesha
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…