Nimekutana na malaika

Nimekutana na malaika

Status
Not open for further replies.
Uko vizuri Mkuu, ila wanawake wa aina hii huwa wanaudhaif flan wa ndani, sometimes inaweza pelekea kua out of mood, kitu muhim ni kujitahid kua mvumilivu juu yake na kulazimika kufanana nae ktk baadhi ya mambo ila mwende sawa.
Hii ni kwauzoefu wangu lakini..!!
Safi sana kumbe na wewe " unaye malaika wako "... Ubarikiwe " Asante kwa pongezi pia "
Nitayazingatia haya maneno kwa yakini "
 
kufake km kote!sidhan ..naudhika mnavyogeneralize kuwa wanawake wanawapiga mizinga...sio kweli ht kidg..kuna watu wazito sana kuomba omba hela mkuu
Wanawake wote wanaomba hela wanatofautiana kwenye namna ya uombaji tu kuna wale wanaomba direct na wale wanao omba indirect

Direct : Naomba laki moja na nusu niende saluni

Indirect : kuna wigi jipya linetoka baby nalitamani mnh acha tu hapa sina hela sijui nitalipataje??

Basi hapo huyo wa indirect atasikitika wiki nzima mpaka utaitoa pesa tu akanunue wigi. Wanawake wako na strategies nyingi sana kwenye kuomba hela.
 
Utasifiwa na wanawake woteeee humu, asili ya mwanaume ni kutoridhika
IMG-20181204-WA0025.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom