HahaaHapana, hatufanani. Wengine sie ni malaika.
Asubutuuuuuuuu...hahahha...Hapana, hatufanani. Wengine sie ni malaika.
Asubutuuuuuuuu...hahahha...
Indeed " Mpo ijapo kuwa mpo wachache "Kwani unafikiri nakushikia kisu uamini?
Malaika tupo, changa tu karata zako vyema.
Indeed " Mpo ijapo kuwa mpo wachache "
Malaikaaaaaa espyKwani unafikiri nakushikia kisu uamini?
Malaika tupo, changa tu karata zako vyema.
Mbona wewe umeumbwa uchi lakini una vaa nguo mkuu ..!!?wacha tuone movie ya ray na johar ikiwa inaendelea huku tunapata juice kidogo ila mrejesho lazima mkuu kama ulivyo andika huo walaka kutoka katika moyo ILA KITU KIMOJA MWANAMKE HARIDHIKI KWA CHOCHOTE alipewa kucha na mungu yeye anaweka bandia,nywele yeye anaweka bandia, kope yeye anaweka bandia,makalio yeye anona hayafai anaweka bandia NA NDIO MAANA TUKAAMBIWA TUISH NAO KWA AKILI, na NDIO MANA WAKAITWA HAWA ni weng NA SISI tukaitwa ADAMU kulikuwa na maana USIMWAMIN MWANAMKE YEYOTE DUNIA HII
Haya nakuelewa mkuuNa bahati mbaya ni kwamba unapompata mwema ikiwa wewe haujaamua bado kuwa mwema hauwezi kumgundua kabisaaaa. Ndio matokeo yake unasema kauli za "wote ndio wale wale".
Ila wanaume wema na wanawake wema bado wapo sana tu.
FIKRA NI NDOGO SANA ILA NI NGUMU KUIYELEWAMbona wewe umeumbwa uchi lakini una vaa nguo mkuu ..!!?
Oa utukuze cheo, na jina lipate kuwaKama umemkubali kiivyo OA haraka achana zinaa
Asingekuwa anafika kibo " Basi asingekuwa ana delivery Yote hayo
Hahaa " hapana mkuu " tumuite malaika tu inatosha '' hana hiyo sifa uliyompa ningelisha mkimbia kitambo sana
Kabisa .. mkuuMwanamke wa kawaida lazima ukumbane na kimoja kati ya hivyo vingi
Bado tupo wengi sanaaaa, kuomba pesa haimaanishi hatuwapendi jamani. Ni shida tu ndio hazina adabu, mtuvumilie tu na mzidi kutupatia pesa. Tunawapenda sana na mbarikiwe kila mtoapo. Amen.




