Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
huyu ndo smasha clearing injinia!.................Anakumbuka kuwa faraha na wasichana tu!!Hii thread imenifanya nikumbuke mengi sana enzi za utoto!!
Nakumbuka nilikamatwa na Barua nimemwandikia Monitress nilipokuwa darasa la kwanza.
Nakumbuka nilikuwa nacheza michezo yote ya kike ingawa mimi wa kiume.
Nakumbuka enzi za KOMBOLELA lazima nikajifiche sehemu 1 na mrembo inapita michezo 3 hamjaonekana!!
Nakumbuka.............................!!!!!!!!