Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,933
- 1,294
Wagagagigikoko, chonya wa chilonwa! Urembo wa ndonya!
kumbe wengi hapa ni wa juzi juzi....
1. Mandawa na manenge
2. Mzee tola
3. Mfalme mwenye masikio kama ya punda
4. Sizitaki mbichi hizi..
5. Safari yenye mkosi.
6. Siku ya gulio Katerero.
Daah! Lakin hii haichekeshi wadau. Hebu na wewe kumbukia enzi zako za primary..
1. Mandawa na manenge
2. Mzee tola
3. Mfalme mwenye masikio kama ya punda
4. Sizitaki mbichi hizi..
5. Safari yenye mkosi.
6. Siku ya gulio Katerero.
Daah! Lakin hii haichekeshi wadau. Hebu na wewe kumbukia enzi zako za primary..
Mwamba mwenye nguvu!
Kibanga ampiga mkoloni--------------hahaha, Kitambo
.mfalme anamaskio km punda
nani atamfunga paka kengele
kisa cha yai na kuku