Hakuwa na akili za kufanya analysis. Alijaliwa mdomo tu wa kubwabwaja, lakini kutathmini risk na kufanya mitigation alikuwa ni SIFURI kama alivyopata matokeo ya NECTA Zero division pale B Mkapa Sekondari.Usingelifanya harakati zako ( nzuri, I can say by now) ukiwa hapa!
Walijua una siri zao nyingi, lazima wakumaliza as they have done!
Nakuombea huko ulipo tukuone tena.
AMINA
Humphrey alikuwa hana akili... serikali imekupa heshima ya kuwa ambassador! Ukiwa bado kijana mdogo, wenzie wanatafuta nafasi hata ya ukuu wa wilaya tu au udiwani,Usingelifanya harakati zako ( nzuri, I can say by now) ukiwa hapa!
Walijua una siri zao nyingi, lazima wakumaliza as they have done!
Nakuombea huko ulipo tukuone tena.
AMINA
Mnoooo yeye na magu ndio chanzo Cha hizi siasa zilizopo now nchini
Alikiri makosa na aliomba radhi kwa umma.Mi simuhurumii kabisa yule jamaa,alishiriki maujinga mengi sana kipindi cha jiwe..
Jamaa alikuwa kilaza namba moja...bora tu walivyo mmaliza kama nikweli.Alikuwa mpumbavu kupindukia, mfumo alioshiriki kuutengeneza na kuutetea umemtsfuna masikini ya Mungu.
Ujasiri wa nzi matokeo yake huwa ni kifo chake mwenyewe.
Wenzie walimuingiza chaka baada yakumuona ni fala..Alichokifanya ulikuwa ni ujinga Huwezi kushindana na adui Yako mwenye nguvu Pasipo kujipanga na kuwa na mbinu Bora za kumshinda adui huyo
😁😁😁😁😁Ukishaamini Mungu anakulinda, unaweza kufanya ujinga wowote.
Unakabia juu sana.😀😀Ukishaamini Mungu anakulinda, unaweza kufanya ujinga wowote.
Wenzie walimuingiza chaka baada yakumuona ni fala..
Sasa alikuwa Cuba gani huyu jamaa?Hakuwa na akili za kufanya analysis. Alijaliwa mdomo tu wa kubwabwaja, lakini kutathini risk na kufanya mitigation alikuwa ni SIFURI kama alivyopata matokeo ya NECTA Zero division pale B Mkapa Sekondari.
No regrets kwa yaliyompata, mwana kulifind na mwana kalipata. Amsalimie JPM huko aliko
Huenda kuna namna alisalitiwa/aliuzwa na watu aliowaamini.Sijui Polepole alitumia akili gani. Hata watu wa kawaida tu walikuwa wanaamini haiwezekani Polepole kudakwa kizembe, wakiamini asingekiwa Tz
Nadhani walikuwa na mchongo wa kumaliza kazi ya kumtoa Samia mapema. Alipogeuka akakuta CCM wenzie hawapa.
Chizi yuleKwa kweli walimtoa sadaka , Harakati Huwa hazifanywi vile kabisa lazima ita kucost tu
Mzee wa kitengo alijifanya yupo pamoja nae... kumbe wenzie wamekula viapo vya kulinda Taifa.Huenda kuna namna alisalitiwa/aliuzwa na watu aliowaamini.
Wanalinda Ccm sio TaifaMzee wa kitengo alijifanya yupo pamoja nae... kumbe wenzie wamekula viapo vya kulinda Taifa.
Ila tarehe 29, 30 walimuheshimisha. Hata kama alikuwa kashatangulia, ila walimuenzi. Lazma alikuwa proud. Ila sasa to think of it, kumuondoa Polepole imewasaidia nini?Alipaswa kutambua kwamba Jamii ya watanzania ni jamii ya watu waoga Wakati ukiwa unafanya harakati watakupa bichwa Kwa kukushangilia tu ila ukikamatwa Wataishia kupost #Free pole pole After one month imeisha hiyo 😄
Jamii ya watanzania haipo Tayari Kwa ukombozi