ZALEOLEO
Senior Member
- Oct 11, 2011
- 116
- 18
Habari jamani,mie ni mgeni humu kwa usajili,lkn ni mfuatiliaji mkubwa wa mada za humu,nimejiunga ili na mimi kuchangia kile ninachokijua juu ya mijadala ya humu! nimeshuhudia wenzangu wageni wakiitwa kikosi nape,lkn mimi nimekuja na bendera ya jukwaa,itapepea kwa wadau wasoweza kujua yanayoendelea humu. ahsanteni