Nimekudondokea sana Halima Mdee!

Status
Not open for further replies.
jaribuni kumuelewa mleta mada...amefikisha ujumbe ambao wengi hamjaelewa ila mnakimbilia kudhani ni yale

Ujumbe kama upi Edson, maana kama watu hawakuelewa ujumbe, unaweza saidia kuelezea kidogo ile ujumbe ufike fasaha na watu waweze toa maani yako tokana na ujumbe mwanana..
 
nitafute nitakusaidia kumpata na kama wewe ni dereva pia alikuwa anatafuta dereva na unaweza kutumia gia ya kwamba unataka kazi
 
Maombi yako nina wasiwasi nayo, inabidi yaundiwe tume isije ikawa unataka kupata tu umaarufu kupitia kweke, au uliposikia wamepewa mil. 90 za magari udenda unakutoka.

Hapo umenena mkubwa. Vinana wengi wa siku hizi wanakimbilia wanawake wenye pesa zao hata kama wamewazidi umri. Mwishowe mkibagwa mnakimbilia vyombo vya habarai eti nimenyang'anywa, etc. Power and Authority ya mwanaume itakuwa wapi kama wewe ni binti? Utadharauliwa tu, no way. Akina mama waone walivyo, kama huna kitu basi unakuwa treated like a house boy at some point. Acheni vya kunyonga vijana. Eti unahamia kwa mwanamke ana gari, nyumba na kazi nzuri, kudadeki, on my neck.
 
Leo ni siku ya kudondokeana na kuzimikiana.
 

Freeman Mbowe unamjuwa au unamsikia tu?
 
Hiyo kali. Ukisoma kwa undani utaona yuko ki maslahi zaidi. Nitakusaidia kuzifikisha hizi salamu.
 
Wanaume tuna kazi kweli,yaani mtu mpaka unajieleza hivyo humu jukwaani kisa nini?Unataka kumvua nguo ya ndani mwingine dah!!!Kila la kheri muheshimiwa...
 
Je ni kweli unampenda?
Endelea ku boresha hizo lyrics, contact zake siyo tatizo, after all wabunge wana ofisi majimboni, kwa hiyo unaweza kumwona personally kama mpiga kura wake, then ukawasilisha lyrics zako
 
Hahahahahahahah...
Dahhhh umenipa raha Lea kweli..
 
Yote hayo ni llini mlalieni mkiwa watupu .ak.a muunganishe vikojoleo vyenu, this is very very funny...
 

kujieleza kote huko ni ili ulale naye mukiwa waupu, au tuseme mugusanishe vikojoleo vyenu?? Kwakweli people are very funny caricatures
 
kujieleza kote huko ni ili ulale naye mukiwa waupu, au tuseme mugusanishe vikojoleo vyenu?? Kwakweli people are very funny caricatures

Jamani mkuu,Tafsida basi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…