xtaper
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 3,320
- 4,696
MPE tigoNiliwahi kuandika uzi wangu wa kutafuta mwenza humu ndani, katika wengi waliokuja nikabahatika kupata kijana mmoja aliyeukuna moyo wangu,nikaona nijaribu mahusiano naye sikutaka kujiachia mazima tangu nimemkubali ni wiki tatu zimepita na bado hajaweka fedha zake kwenye pochi yangu (sex) amekuwa akinionesha upendo wa hali ya juu, hana elimu kabisa ila ni mfanyabiashara aliyefanikiwa, imekuwa ni kawaida kunifuata kazini kila ambapo nikimwambia aje na kunipeleka nyumbani,neno langu limekuwa sheria kwake, sasa tatizo ni hili wiki iliyopita akaniomba anifundishe kuendesha gari ili nikiweza anipe moja nitumie kati ya machache anayomiliki. Mwanafunzi Mimi nimekuwa muoga kuingia barabarani kibaya zaidi niliparamia ukuta na gari ikabonyea akanifokea sana kiukweli iliniuma kufokewa naye kwani mpaka alinitolea tusi, ndani ya gari ukapigwa wimbo wa sisi tunakula bata wa Jay mo, nikamuomba autoe akataka kujua kwanini nikamwambia simpendi Jay mo tumegombana, akataka kujua sababu sikumwambia basi hapo ndipo tatizo likaanza amenuna hataki kuongea na mimi Sasa Wakuu sielewi nimekosea wapi kwenye kugonga gari au kukataa kumwambia ugomvi wangu na Jay moo ni nini!!! Nakosa raha yaani mahusiano yangu mapya yavunjike ndani ya wiki tatu sina rahaa kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jitahidi urudishe maelewano aendeee kukusikiliza na kukutii......
Thank you.
Jifunze kutosema usiyotaka kuelezea..
Picha aliyopata ni mlinaniiiiiiiii..
Ila ilikuwa lazima utuambie umempatia humu?
Wana JF kuweni makini na huyu mtu, hasa hasa kama ulimfuata kwa ID nyingine.
He is connecting dots.
Bora nipe Tigo usining'ate Na hilo fat ass lako ukijamba nakupa elfu 20
Mbona mada niliyoleta haihusiani na kutahadharisha watu kwani nimetapeli mtu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Thank you.
Ila chunga usije unguza valve za kamoyo kako. Siku hizi fire nao, ni wahuni tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je ulileta mrejesho kwamba umepata? tatizo lilianzia hapo kwani bado umekalia viapo vya watu.....ukivikana mtaenda sawia na huo utoto utawaisha
Sent using Jamii Forums mobile app