Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,172
- 26,906
Hahahahah una ugomvi na jay mo heheheheh
Inawezakana wewe ndio kwenye tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezakana wewe ndio kwenye tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
huyu muongo wala hana insue!!Kwa kijana wa sasa, mtumie pesa tu siku zote bila vikojoleo kugusana!
Jaribu kumpa papuchi uone. Atasahau maumivu ya gari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole, mpe mda hasira ziishe ...usiache kumwambia sababu za kuuchukia wimbo.....natafakari huo usemi wako hapo juu....
Kwa style hiyo,hakuna uchumba ndg
Bali ni kupotezeana muda,na kila mmoja kumtumia mwenzake kwa wakati wake
Sent using Jamii Forums mobile app
wiki tatu hajakuomba nyapu, arafu akufundishe na kukupatia gari. Na wakati huo mmejuana mtandaoni..asee hii chai umetia chumvi mno,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahah una ugomvi na jay mo heheheheh
Inawezakana wewe ndio kwenye tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
JF imekuwa na vijana wa ajabu sn ukishangaa ya morogoro unakutana na haya
Muda wote huo anasubiri nini kuweka hela zake kwenye porch yako anasubria ufungue bank account au?
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Sawa ngoja nimuache aishiwe hasira, huo usemi nilimaanisha kwake kila nachosema anatia tiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Shairi la stori yako linahitaji nn? Vijana mnajua kucheza na akili za wasomajiNiliwahi kuandika uzi wangu wa kutafuta mwenza humu ndani, katika wengi waliokuja nikabahatika kupata kijana mmoja aliyeukuna moyo wangu,nikaona nijaribu mahusiano naye sikutaka kujiachia mazima tangu nimemkubali ni wiki tatu zimepita na bado hajaweka fedha zake kwenye pochi yangu (sex) amekuwa akinionesha upendo wa hali ya juu, hana elimu kabisa ila ni mfanyabiashara aliyefanikiwa, imekuwa ni kawaida kunifuata kazini kila ambapo nikimwambia aje na kunipeleka nyumbani,neno langu limekuwa sheria kwake, sasa tatizo ni hili wiki iliyopita akaniomba anifundishe kuendesha gari ili nikiweza anipe moja nitumie kati ya machache anayomiliki. Mwanafunzi Mimi nimekuwa muoga kuingia barabarani kibaya zaidi niliparamia ukuta na gari ikabonyea akanifokea sana kiukweli iliniuma kufokewa naye kwani mpaka alinitolea tusi, ndani ya gari ukapigwa wimbo wa sisi tunakula bata wa Jay mo, nikamuomba autoe akataka kujua kwanini nikamwambia simpendi Jay mo tumegombana, akataka kujua sababu sikumwambia basi hapo ndipo tatizo likaanza amenuna hataki kuongea na mimi Sasa Wakuu sielewi nimekosea wapi kwenye kugonga gari au kukataa kumwambia ugomvi wangu na Jay moo ni nini!!! Nakosa raha yaani mahusiano yangu mapya yavunjike ndani ya wiki tatu sina rahaa kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kijana wa sasa, mtumie pesa tu siku zote bila vikojoleo kugusana!
Jaribu kumpa papuchi uone. Atasahau maumivu ya gari.
Sent using Jamii Forums mobile app
yaani mtu ni wa humu humu JF arafu tena apost humu humu ety kamkususa!! huyu dada vp anataka kutugeuza sisi ma- kolo
Sent using Jamii Forums mobile app
