geniusMe
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 1,312
- 1,786
kama sio chai basi kuna mtu anawekewa mazingira ya kumegwa anataka uombe msamaha then utatoa kipochi manyoya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka hapo MO TEKNIKUlipokosea ni hapo pa JAY MOO,jamaa akafikiria inawezekana mlikua na ukaribu wa hali ya juu kiasi kwamba uchukie mpaka nyimbo zake,yani ishu imeonekana too personal,na atakua kakuona wewe ni mtu wa starehe sana mpaka unashinda na kina MO TEKNIK...na kama unavyojua watu wengi wanavyowachukulia hawa wasanii wetu kua wako active kwenye maswala ya kuchezea wanawake.
Sent using Jamii Forums mobile app