Nimekosea Wapi?

Sidhani kama ni sawa nna sababu nyingi sana za kukata,aolewe na mtu mwengine ila sio shemeji yangu hatuwezi kuolewa na familia moja..
Kama Issue ni wasiwasi wa watoto kuoana nafikiri hili linaongeleka, Ni suala la kukubaliana kwamba kama wataoana wahakikishe kuwa watoto wenu hawaowani.
Sidhani kama ni sawa kumfanyia mtu maamuzi ya yeye kuolewa au kutokuolewa na na nani, acha yeye mwenyewe aamue. Lakini kama una sababu nyingine zaidi ya ulizosema ok, ungea na mdogo wako azielewe na mwache yeye mwenyewe aamue, usimuamulie.
Tayari msimamo wako binafsi umewayumbisha wengi, Usiwe mbinafsi.
Ninaifahamu familia ya kaka 3 waliooa nyumba moja.Wanaelewana na kusaidiana vizuri.
 
Nadhani unakuwa mbinafsi zaidi kwa sababu unaliangalia hili kwa upande wako tu. Muache mdogo wako aamue maisha yake, kama wewe ulivyoamua ya kwako na familia ikaheshimu japo kwa shingo upande.
 
Mkuu Ahsante sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa zaidi ya sanaaaaaaaaaaa,kwakusimama na mimi japo hunijua ila mwenyezi mungu ndio atakae kulipa kwani sio rahisi mtu kunielewa nna maana gani,na ndio mana kuna time hua nalia sababu angekuwepo mama afadhali angenisaidia, naandika huku machozi yananitoka nahisi napiga peke yangu na hakuna wakunielewa japo kwa mawazo, najiuliza kwanini hawanielewi? mabo mengi yapo wazi family wanagombana kisa watoto wao,why wanataka kumuweka huyu mdogo wetu kwenye matatizo?
Bro wangu anasema unavyotaka wewe ndio hivyo hivyo ila hasimami na kuongea yuko busy na life yake anasema hao watu ni visiki hakuna haja ya kuwaelimisha hawaelewi,anyway ahasante sana mwenyezi mungu akupe busara hiyo hiyo na hekma..
 
Naheshimu maamuzi yake ila ntajitahidi nimshawishi manake sio sawa...
Ukute kwa upande wake yeye anaona sawa ndio shida itakapoanzia hapo.

Kwasababu wakati mwingine mtu hakubishii lakini moyoni mwake anapingana na wewe. Mshirikishe Mungu pia kwa maombi atakusaidia kulivuka hilo
 
Nadhani unakuwa mbinafsi zaidi kwa sababu unaliangalia hili kwa upande wako tu. Muache mdogo wako aamue maisha yake, kama wewe ulivyoamua ya kwako na familia ikaheshimu japo kwa shingo upande.
waliheshimu sababu niliwambia reason na baada ya muda wameiona,mkuu sitokubali makosa walofanya wale na huyu ayafanye mimi ni mlezi wake na sio adui yake siwezi kumtia kwenye matatizo mdogo wangu ila nataka aone kwanini nimechukua maamuzi haya..
 
Ukute kwa upande wake yeye anaona sawa ndio shida itakapoanzia hapo.

Kwasababu wakati mwingine mtu hakubishii lakini moyoni mwake anapingana na wewe. Mshirikishe Mungu pia kwa maombi atakusaidia kulivuka hilo
Inshallah,Ahsante sana kwa mawazo yako..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…