Nimekosea Wapi?

Atakuwa ameona
Unajua huyu NIMPENDENANI ni mhenga mwenzangu na huwa tunapatana hapa JF ila akiwa na issue yake yupo conservative ile mbaya. Sisi hukubali ushauri wake ila yeye huwa hakubali. Sasa ona kuna ka enemity kanaanza katika familia yake na mwisho wa siku wataoana tu iwe aibu kwake.
 
Huyo kakupotosha angalia huyu naye katoa msimamo wa kiume Nimekosea Wapi?
 
Kuna mambo ya kujadiliana ili kufikia myafaka ila mengine hayahitaji mijadala ni kufunga tu kuwa hilo sitaki bas unaendelea na shughuli zako
 
Siungi mkono ndugu kuona lakini mkuu angalia usijekua na bifu na familia tena bifu la kudumu kwasababu ikiwa mila na desturi hilo ni Jambo la kawaida itakuwa wewe umeleta dharau katika ukoo wa mumeo Jambo ambalo litakugharimu baadae kuikimbia nyumba au família yako kwa chuki itakayojengwa dhidi yako hivyo nakuomba kaa na Mdogo wako usikae nae chini kama dada kaa nae kama rafiki ili afunguke kwako jadilini hilo Jambo pia muangalie faida na hasara katika maamuzi mkiona faida ni kubwa kukataa basi kataeni mazima ila mkibaini hasara ndo kubwa basi jipime kama utaweza kabiliana na hasara hiyo Bado kataa, ila ukiona maji yanazidi unga acha aolewe na maisha yasonge, hapo inakera mpka wakati mwingine najiuliza mpaka Mdogo Mtu kumtamani mdogo wa shemeji yake atashindwa nini kukutamani wewe shemeji yake?
 
Inshaallah atakuelewa mungu ni bingwa Wa mitihani iliyoshindikana kwake ni mirahisi
 
Kwani alishajihusisha kimapenzi na huyo shemejio au ni mipango tuu ambayo bado haijawa na tija?
Niwe mkweli,shemeji anaishi America,mdogo wangu ana soma South Africa,kama kuonana nikipindi cha likizo once a year na inakua 15-30days hua wanakuwepo,sasa sijui ila siunajua moyo wa mtu huwezi kumsemea..
 
Kuna mambo ya kujadiliana ili kufikia myafaka ila mengine hayahitaji mijadala ni kufunga tu kuwa hilo sitaki bas unaendelea na shughuli zako
I wish ingekua hivyo wallah things ingekua very Simple,ila una ongea na watu wazima wanaofata mila na hawaelewi wao kuolewa na mtu wa nje wanaona kama vile umedharau why ukaolewe na mtu wa nje wakati wanaume au wanawake wapo ndani yani hua nashindwa kuelewa logic yao kabisaaaa...
 
Tuletee mrejesho kama umeafiki harusi au la.
Inshallah ila chances are very slim,sio rahisi ila kuna hope nimepata kutoka kwa watu humu nawashukuru sana na wengine nje ya hapa ntajitahidi kuyafanyia kazi ...
 
Niwe mkweli,shemeji anaishi America,mdogo wangu ana soma South Africa,kama kuonana nikipindi cha likizo once a year na inakua 15-30days hua wanakuwepo,sasa sijui ila siunajua moyo wa mtu huwezi kumsemea..
Ndo inatakiwa ukae nae kirafiki ili akuweke wazi bila kukuficha kuwa kama walishashiriki mapenzi au laah, kama tayari muulize maamuzi yake binafsi maana kwenye mapenzi kuna mengi hujui waliongea nini kipindi wapo sexy mood, kumbuka kukaa nae kirafiki ukikaa kama dada Mtu wallah usitegemee ukweli maana kuna mambo atakuficha lakini rafiki huambiwa kila kitu hivyo ikiwa hajafanya chchote nae itakuwa rahisi kumpotezea ila ajiweke mbali nae maana kutafanyika makusudi ili kumuweka mtegoni na kama ikiwa tayari mpe nafasi ya Uchaguzi akiridhia kumtema inibidi amkwepe pia hata likizi zipishane mpaka apate mwingine na akimpata ajitahidi kumuweka wazi Kwa kila ndugu na marafiki ili yule afute mawazo ya kuwa nae abadan lah sivyo atasomewa gep na atawekewa cha mtoto makusudi kuzima ndoto zake ili akubali matakwa ya hao shemeji na familia yake, na aibu itarudi kwako maana umekuwa mpinzani wao
 
urumrawi,sio nakata wallah sijisifu ila napenda kua au najitahidi kua muelewa na nakua mkinya kwenye issue ambazo sio za lazima,ila kama kuna kitu kita kua na madhara baadae hua napenda kuingilia kati mpaka nione tija, sasa kwenye hili sio sawa..
 
Ahsante nimtihani mkubwa kwangu huu ila inshallah kheir..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…