Nimekosea kutafsiri au nipo sahihi?

Nimekosea kutafsiri au nipo sahihi?

Ningefanyaje sasa?
Wewe ulitakiwa ucheze na mazingira yake na ungekula mzigo bila kutongoza sio kila mwanamke Ili umgonge lazima umtongoze wakati tayari kashajua una mke umefanya kosa kubwa sana. Unajua ni kwambia kitu mwanamke akiwa na nyege anakuwa kama huyo manzi yeye alikutazama kama mtu ambaye utatibu nyege zake kwa wakati huo ndio maana akawa anakupa hizo ishara haimanishi kuwa uwe mpenzi wake sasa wewe ungeenda hivi na akili yake unamchokoza kiaina kama hvi ebu nizihesabu hizo Shanga zako ni nizithibitishe na rangi zake zikoje akikuonesha tu unatumia hiyo chance kuanza kuzichezea na kushika au kumpapasa na sehemu zingine za mwili wake game inakuwa over
 
Ningefanyaje sasa?
Ulivyoenda kwake ungemwambia tu akuonyeshe namna shanga zake jinsi zinavyompendeza, akikuonyesha unaanza kuzishika nakuzihesabu kama zimetimia 4 halafu unaanza kuhesabu shanga mojamoja ili ujue kwenye mzunguko wa kiuno chake zinakaa shanga ngapi?
 
Nimekutana na mdada mmoja, tukaanzisha urafiki (sio wa kimapenzi). Ikafika mahali tukawa tunapiga stories nyingi tu. Mdada hajaolewa ila ana mchumba wake. Mimi nimeoa.

Huyo dada huwa ananipigia stories za mapenzi namna ambavyo huwa anafanya na mchumba wake, mitindo anayoipenda. Ananitajia shanga alizovaa kiunoni mpaka idadi yake.

Weekend ananiita naenda kwake, anapika na tunakula na kuangalia movies.

Akili ikanituma kuwa, huyu dada ni mimi tu namchelewesha. Ikabidi nimtupie neno la kumtongoza. Ajabu ni kuwa, amekasirika wiki ya tatu sasa. Hakuna cha calls, meseji wala ku-view status zangu.

Nimekosea wapi? Ningefanyaje?
Hivi ulishindwa nini kuanza kuzihesabu hizo shanga alizo kutajia kwa vitendo, mpaka uanze kumtongoza tena? Jitahidi kuwa mwanaume mkuu acha tabia za wavulana
 
Ningefanyaje sasa?
Mwanamke akisha kupigisha stori za mapenzi na kukuambia mambo yake ya ndani mwanaume rijali kabisa unachotakiwa kufanya chapu ni kumnyandua na siyo kumtongoza, japo atakuwekea kaugumu ila ukiwa mwanaume hushindwi kitu.
 
sasa uki uawa na huyo mpenzi wake hapo chumbani kwake,
humu JF tutachat na nan na tulikuzoea na thread zako kama ivi?
Mchumba wake yupo hukoo mikoani. Na mimi familia yangu ipo hukooo! Huku ni ajira tu zimetuleta.
 
1. Siingiaa ndani/chumbani kwa mwanamke hata kama namtegea nimle

2. Sili chakula ambacho amepika mwanamke asiye mke wangu huku najua tuko kwenye harakat za kupasuana.Kwakifup nje ya chakula cha wife sili kwa mwanamke yoyote mwingine

3. Sijawahi toka niko single wala sikuwah kufikiri kunuingiza mwanamke gheto kwangu, mambo yote yanaishia njeee..Gheto kwangu ni mahala patakatifu.
 
We call it reverse psychology anafanya hvyo ili usimione mlaini jiongoze ule mzigo
 
Mchumba wake yupo hukoo mikoani. Na mimi familia yangu ipo hukooo! Huku ni ajira tu zimetuleta.
Jichunge ndugu yangu,
Una ule mstari kwenye wimbo you bukuku ''na hapa ndio jijini mbeya?
hizi ngeu ndio zawadi yangu?

sasa ukiendelea na siku ikafika wakati huo huna meno yote ya mbele na kiuno imegoma kukaa sawa itakua hivi na "hapa ndio kazini kwako "kikaniki na hayo"mapengo ndio zawadi yangu "

hiyo mambo kafanyie huko pasipojulikana lakini sio kwako wala kwake
 
😅😅 kanisani au mskitini??? na kwanini huli msosi aliopika mwanamke asiye mke wako fafanua kidogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom