Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,825
- 113,410
Kasema nan?Aaah weee mapenzi matam bwanaaa😅😅
Kasema nan?Aaah weee mapenzi matam bwanaaa😅😅
Mama pretty🤪🤪Kasema nan?
ulichokosea ni pale ulipomtongoza na alipokuchunia nawe ukanyamaza,ilitakiwa ukaze buti na uzidi kumtongoza tena kwa kulia kabisaNimekutana na mdada mmoja, tukaanzisha urafiki (sio wa kimapenzi). Ikafika mahali tukawa tunapiga stories nyingi tu. Mdada hajaolewa ila ana mchumba wake. Mimi nimeoa.
Huyo dada huwa ananipigia stories za mapenzi namna ambavyo huwa anafanya na mchumba wake, mitindo anayoipenda. Ananitajia shanga alizovaa kiunoni mpaka idadi yake.
Weekend ananiita naenda kwake, anapika na tunakula na kuangalia movies.
Akili ikanituma kuwa, huyu dada ni mimi tu namchelewesha. Ikabidi nimtupie neno la kumtongoza. Ajabu ni kuwa, amekasirika wiki ya tatu sasa. Hakuna cha calls, meseji wala ku-view status zangu.
Nimekosea wapi? Ningefanyaje?
Mnatuangusha sana!!! Unafeli wapiii kijnaMchumba wake yupo hukoo mikoani. Na mimi familia yangu ipo hukooo! Huku ni ajira tu zimetuleta.
Maguire pro maxMchumba wake yupo hukoo mikoani. Na mimi familia yangu ipo hukooo! Huku ni ajira tu zimetuleta.
Una acha mambo ya happen yenyewe, yaan kimasihara.Ningefanyaje sasa?
Sawa thibitishaMama pretty🤪🤪
Ungeomba kuhesabu shangaNingefanyaje sasa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]upele haumpati mwenye kuchaBlazaaaaaa demu kakuwekea mpaka mitego umeshindwa kumlaa.. yani kakutengenezea mazingira wee.. mademu wengine hawapendi maneno mengi yani wwe ingia kula afu kausha sasa subiri kutangaziwa jogoo hapandi mtungi[emoji1787][emoji1787]
AnamaliziaMletee wimbo huo labda haujui[emoji1787]
Anamwambia"nenda mwananyamala kachukue mzoga wako,mie ni mke Mwenzio"