Mtuache
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 251
- 638
Habari za asubuhi wana jamvi
Ngoja niende moja kwa moja kwenye point. Kuna mtu nimekosana nae yapata miezi miwili sasa. Lakini hivi karibuni nimepata sintofahamu nyingi baada ya kumuotea ndoto za ajabu.
Ni mtu wangu wa karibu, kukosana kupo sisi ni binadamu. Ila hizi ndoto zinaniogopesha kidogo.
Kwa mfululizo nimemuota huyo mtu amekufa, yaani una muota mtu amekufa leo. Unalala tena kesho yake una muota huyo huyo mtu amekufa, kesho yake tena na tena kwa mfululizo wa kama siku nne hivi kama si tano.
Hii ina maanisha nini? Au ni ndoto tu za kawaida?
Nawasilisha.
Ngoja niende moja kwa moja kwenye point. Kuna mtu nimekosana nae yapata miezi miwili sasa. Lakini hivi karibuni nimepata sintofahamu nyingi baada ya kumuotea ndoto za ajabu.
Ni mtu wangu wa karibu, kukosana kupo sisi ni binadamu. Ila hizi ndoto zinaniogopesha kidogo.
Kwa mfululizo nimemuota huyo mtu amekufa, yaani una muota mtu amekufa leo. Unalala tena kesho yake una muota huyo huyo mtu amekufa, kesho yake tena na tena kwa mfululizo wa kama siku nne hivi kama si tano.
Hii ina maanisha nini? Au ni ndoto tu za kawaida?
Nawasilisha.