Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,269
- 1,269
Habarini Wadau,
Sijajua tatizo ni nini. Mpaka leo hii kila mdada ninaekua nae in relationship kwa lengo la kuja kuoana nae basi nakuja gundua mapungufu mengi tu ambayo yananipelekea kuto kumwamini kama atakua mwema katika maisha ya ndoa.
Nimejaribu so many girls lakini la hawajafanania tu na vile mke anavyotakiwa kuwa. Sasa miaka inasonga now na utu uzima waja.
Nahisi nina mkosi kwa kukosa mke mpaka sasa.Wadau hebu nisaidieni njia gani mlizitumia ili kumpata umpendae?
Msaada tafadhali.
Kaka huyo unaemtaka HAYUPO HAPA CHINI YA JUA. Labda umtengeneze mwenyewe ndo atakuwa hivyo utakavyo