Nimekosa hamu kufuatilia Bunge

Nimekosa hamu kufuatilia Bunge

hali inayoendelea na itakayoendelea inanikosesha hamu ya bunge na si leo tangu hata kabla halijaanza nilishaona baada ya kukosekana kwa uwaino wa maamuzi
umeulizwa umeona nini leo cha kukatisha tamaa unapiga tantalila tu
 
Bado siamini kama ni mimi ambaye nilikua karibu ya kuugua ninapokosa kipindi cha Bunge pindipo nina fursa hamu imekwisha kabisa naona mauzauza tu na nimekata tamaa sana nahitaji kuhuishwa upya.

Kufa tu jamani mbona hufi jamani?
 
Mlitegemea mabadiliko gani wakati mbuzi mmoja yupo katika ya mbwa mwitu kumi
 
Mkuu Amavubi! Miaka yote uwiano haujawahi kuwepo.... Mwaka huu WAKIWA mlikuwa na nafasi kubwa ya kupunguza gap kama sio kuwa na majority bungeni. Ghafla mahaba yaliwaingia mkapoteza DIRA na MVUTO kwa Watanzania wa kawaida ambao ndio wengi. Na hili ni Jeraha zito ambalo matibabu yake ni ya muda mrefu.... Mlikuwa mkionekana kama chama Mbadala cha Kutengeneza Serikali Mbadala mkijigeuza kuwa MAJINUNI waliojitoa FAHAMU baada ya kuzungumza sense na sera zenu zinasimamia nini...Mkaja habari kuwa nyinyi ni majemedari kama MAMVI sio rais BORA hata MCHAGUE JIWE.... Kwenu the most important thing ilikuwa ni MAMVI awe raisi hamkujali Madiwani wa wabunge.... Look here my friends CCM wamenyakua kata 1022 za UDIWANI VS 200+ za CHADEMA........ Wabunge CCM 180+ VS CHADEMA 35 ...... Kweli mlikuwa mnataka Uwiano...Kibaya zaidi Chama chako kiliamua kugeuka mila na desturi za kuamini na kufanyia kazi tafiti za kisayansi na kuanza kuruhusu WAPIGA RAMLI wakubwa kama MZEE WA MISUKULE, na Kile KIBABU MLIKOKITOA CCM wawe majemedari wakuu na kuwapa DIRA..... POLE SANA.... JIPANGENI UPYA !!!

Kweli kabisa mkuu,,yani viongozi wetu walishau ishu za ubunge wao wakawa bize na lowasa,,yani hata kutatua sehemu walizoweka wagombea wawiliwawili walishindwa kabisa kisa lowasa
 
Mambo mengine bhana,kuangalia au kutokuangalia hakubadilishi chochote wala kuleta tofauti yoyote, wao ndo wamekaa pale na ndo wanatunga sheria zinazotuongoza na kuisimamia serikali inayotuongoza,
 
we si uliwai kujitangaza kuwa wewe ni shoga katka jukwaa la mapenz na ukatoa na namba yako sasa kumbe mashoga ndo wanaoshabikia maficcm
 
Kuna hiyo list iliyosambaa ya vitI maalum ya magufuli ndii nimechoka kabisaaaaaa... na hizo sarakas za tulia sizielewi lengo lk nini
hebu tuwekee hapa
 
asante heri sijaiona mkuu
Aah mi siwez iweka imesambaa wasap ila majina haya yapo
Wasira
Membe
Polepole...na wengineo ss sijui km ni ya kweli .nilichoka nilivyoona
 
s
we si uliwai kujitangaza kuwa wewe ni shoga katka jukwaa la mapenz na ukatoa na namba yako sasa kumbe mashoga ndo wanaoshabikia maficcm
so what .................mr president,,,,,
 
Kwani umeona nini leo??Wengine tupo mbali sana na hizo media so please weka kidogo japo in brief nasi tujue nini kinaendelea.
Jf ndio imekuwa chanzo changu Wabungkikubwa cha habar na angalau inanisaidia kujua nini kinaendelea

Wabunge tangu jana wanaapa! Aache uongo!
 
wakat spika anaapishwa kuna mtu wa ccm nadhan akwasha mike akasema endeleen kuisoma namba ccm ni ile ile!!!! nikasema duh kazi ipo kama thinking ndio hii inasikitisha sana!!!

Acha uongo, hiyo ilikuwa wakati wa kutangaza matokeo ya uspika na baada ya Ndungai kutangazwa mshindi!
 
wakat spika anaapishwa kuna mtu wa ccm nadhan akwasha mike akasema endeleen kuisoma namba ccm ni ile ile!!!! nikasema duh kazi ipo kama thinking ndio hii inasikitisha sana!!!

Huyo mbunge hata mimi aliniboa sana Mwanaume mzima anakua mtu wa mipasho. UKAWA wakiwasha mike wanaambiwa wanafujo halafu wanatolewa nje.
 
Back
Top Bottom