hali inayoendelea na itakayoendelea inanikosesha hamu ya bunge na si leo tangu hata kabla halijaanza nilishaona baada ya kukosekana kwa uwaino wa maamuziKwani umeona nini leo??Wengine tupo mbali sana na hizo media so please weka kidogo japo in brief nasi tujue nini kinaendelea.
Jf ndio imekuwa chanzo changu kikubwa cha habar na angalau inanisaidia kujua nini kinaendelea
Bado siamini kama ni mimi ambaye nilikua karibu ya kuugua ninapokosa kipindi cha Bunge pindipo nina fursa hamu imekwisha kabisa naona mauzauza tu na nimekata tamaa sana nahitaji kuhuishwa upya.
uwepo wa nepi ndio umenifanya nisitake kufatilia bunge hili
Bado siamini kama ni mimi ambaye nilikua karibu ya kuugua ninapokosa kipindi cha Bunge pindipo nina fursa hamu imekwisha kabisa naona mauzauza tu na nimekata tamaa sana nahitaji kuhuishwa upya.
Mkuu Amavubi! Miaka yote uwiano haujawahi kuwepo.... Mwaka huu WAKIWA mlikuwa na nafasi kubwa ya kupunguza gap kama sio kuwa na majority bungeni. Ghafla mahaba yaliwaingia mkapoteza DIRA na MVUTO kwa Watanzania wa kawaida ambao ndio wengi. Na hili ni Jeraha zito ambalo matibabu yake ni ya muda mrefu.... Mlikuwa mkionekana kama chama Mbadala cha Kutengeneza Serikali Mbadala mkijigeuza kuwa MAJINUNI waliojitoa FAHAMU baada ya kuzungumza sense na sera zenu zinasimamia nini...Mkaja habari kuwa nyinyi ni majemedari kama MAMVI sio rais BORA hata MCHAGUE JIWE.... Kwenu the most important thing ilikuwa ni MAMVI awe raisi hamkujali Madiwani wa wabunge.... Look here my friends CCM wamenyakua kata 1022 za UDIWANI VS 200+ za CHADEMA........ Wabunge CCM 180+ VS CHADEMA 35 ...... Kweli mlikuwa mnataka Uwiano...Kibaya zaidi Chama chako kiliamua kugeuka mila na desturi za kuamini na kufanyia kazi tafiti za kisayansi na kuanza kuruhusu WAPIGA RAMLI wakubwa kama MZEE WA MISUKULE, na Kile KIBABU MLIKOKITOA CCM wawe majemedari wakuu na kuwapa DIRA..... POLE SANA.... JIPANGENI UPYA !!!
na bado utasikia mengi mike zitawshwa sana hadi zipaukewakat spika anaapishwa kuna mtu wa ccm nadhan akwasha mike akasema endeleen kuisoma namba ccm ni ile ile!!!! nikasema duh kazi ipo kama thinking ndio hii inasikitisha sana!!!
Mkuu Amavubi! Miaka yote uwiano haujawahi kuwepo.... Mwaka huu WAKIWA mlikuwa na nafasi kubwa ya kupunguza gap kama sio kuwa na majority bungeni. Ghafla mahaba yaliwaingia mkapoteza DIRA na MVUTO kwa Watanzania wa kawaida ambao ndio wengi. Na hili ni Jeraha zito ambalo matibabu yake ni ya muda mrefu.... Mlikuwa mkionekana kama chama Mbadala cha Kutengeneza Serikali Mbadala mkijigeuza kuwa MAJINUNI waliojitoa FAHAMU baada ya kuzungumza sense na sera zenu zinasimamia nini...Mkaja habari kuwa nyinyi ni majemedari kama MAMVI sio rais BORA hata MCHAGUE JIWE.... Kwenu the most important thing ilikuwa ni MAMVI awe raisi hamkujali Madiwani wa wabunge.... Look here my friends CCM wamenyakua kata 1022 za UDIWANI VS 200+ za CHADEMA........ Wabunge CCM 180+ VS CHADEMA 35 ...... Kweli mlikuwa mnataka Uwiano...Kibaya zaidi Chama chako kiliamua kugeuka mila na desturi za kuamini na kufanyia kazi tafiti za kisayansi na kuanza kuruhusu WAPIGA RAMLI wakubwa kama MZEE WA MISUKULE, na Kile KIBABU MLIKOKITOA CCM wawe majemedari wakuu na kuwapa DIRA..... POLE SANA.... JIPANGENI UPYA !!!