Glas
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,242
- 1,190
Habari wakuu! NIMEKOMA, nimekubal!
Najiuliza maswali!
Kila Napita ni balaa, Kila ninayemuona ni shiiida, ni kwamba hawa watu wana kula tofaut?? Nilidhan Labda ni Nyashishi tu, nikaenda Kakebe Yale Yale! Nikaenda Mecca yaleyale! Nikasogea Mabatini ndo balaa. Nikatembelea Usagara ni balaa. Nikaenda Pasians yaleyale, Nyakato ni balaa kwakwel I nimekubali wanawake wa Mwanza wamejaaliwa shepu. 90% wamejazia Unaweza sahau kurud Dar
NIMEKOMA, NIMEKUBALI
Najiuliza maswali!
Kila Napita ni balaa, Kila ninayemuona ni shiiida, ni kwamba hawa watu wana kula tofaut?? Nilidhan Labda ni Nyashishi tu, nikaenda Kakebe Yale Yale! Nikaenda Mecca yaleyale! Nikasogea Mabatini ndo balaa. Nikatembelea Usagara ni balaa. Nikaenda Pasians yaleyale, Nyakato ni balaa kwakwel I nimekubali wanawake wa Mwanza wamejaaliwa shepu. 90% wamejazia Unaweza sahau kurud Dar
NIMEKOMA, NIMEKUBALI