Sasa si umuwashie kabisa ili kieleweke? Shauri yako we zubaa tu...
Bishanga umezidi. Inaonesha chochote wewe ukiona gauni tu hata kama limetundikwa kwenye kamba au kuwekwa juu ya kiti unatongoza. Tahadhari, usije kukumbana na male-shes (au she-males) kizazi cha Cameron.
Sasa si umuwashie kabisa ili kieleweke? Shauri yako we zubaa tu...
nakushangaa,uliona wapi christiano ronaldo anaogopa kupigwa kwanja?
tatizo lako miwivu imekuzidi,ungejua aliko Phina sa hizi.............