sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Vin Diesel hajambo kabisa......nitts nikuulize wewe kaka yake!Kabla hujanisimanga mimi nambie kwanza nitts hajambo? Vin hajambo? Niendelee na oroza?
Last edited by a moderator:
Vin Diesel hajambo kabisa......nitts nikuulize wewe kaka yake!Kabla hujanisimanga mimi nambie kwanza nitts hajambo? Vin hajambo? Niendelee na oroza?
Vin Diesel hajambo kabisa......nitts nikuulize wewe kaka yake!
Nizeeke moto unanikokea wewe?
Ukisema hivo unanitesa kumutima ujue?
jamani mi nimemzimia sweetlady
Naomba uniPM!
Naogopa kwani sura yako inanitisha kidogo.Ukinieleza ulikutana na nani nitakuPM kwani siku hizi tunaogopa kukutwa mwe...pande alikotupwa Dr Uli....
Halafu we vin wewe,sweetlady mlifahamiana wapi?
Kuanzia natangaza bifu na wewe,SL lishem langu la ukweli ujue? Ohooooooo!!!!
Ilianza hivi,dada mmoja (tumwite Anna) alianza kuniletea viPM vya uchokozi,bishanga nikarespond,tukawa tuna chat. Wiki moja baadae nikapokea PM toka kwa mdada mwingine (tumwite Maryam) tena huyu akawa more straight akanililia shida nikamrushia m pesa. PM zikaendelea mwanawane,mwisho nikapanga ki date na Maryam,akaja,dah mtoto mashallah. Baada ya kufahamiana na maryam huku nyuma bishanga nikaendeleza libeneke na Anna.Jana ndo ilikuwa ki date na Anna pale msasani slipway. Niliwahi nikachukua meza nimekaa namsubiri,akiwa njiani tukawa tuna chat namwelekeza nilipokaa na nilivyovaa.Ghafla namwona Maryam,anatabasamu na kunirushia dongo,we bishanga kumbe hujatulia eh? Dah wacha niwe mdogo kama piriton!
Nimeapa sitongozi tena jf! Lakini na nyie kututega na multiple ID's ndo nini? Acheni hizo,hasa wewe......
Heri yako wewe.....
Mi nilikutana na bonge la njemba. Najua huwezi amini kuwa sweetlady ni bonge la baunsa.
Black Bat taratibu basi manake husband Vin Diesel huwa hapendi utani!jamani mi nimemzimia sweetlady