CUTE
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 1,230
- 591
naona irudiwe tena wapi zinduna jamaniNaomba usistaafu kabla hujanitongoza na mimi, plz.
Unasutwa lini tena, ile show ilinipita kizembe!
naona irudiwe tena wapi zinduna jamaniNaomba usistaafu kabla hujanitongoza na mimi, plz.
Unasutwa lini tena, ile show ilinipita kizembe!
Na umeanza lini kuwa gume gume? Delete upesi kabla shemeji Paw hajasoma manake bahati itakuwa sio yako!Naomba usistaafu kabla hujanitongoza na mimi, plz.
Unasutwa lini tena, ile show ilinipita kizembe!
Na Erotica kanambia leo mnakutaja jioni, angalia vizuri asijekuwa ndie Ana na Maryam lol.nshakwambia bana maryam mtoto mashallah nilikuwa nshakutana naye tayari kisha nikaendelea kumfukuzia Ana upo hapo? Kumbe Ana na maryam ni one n the same person.
Na Erotica kanambia leo mnakutaja jioni, angalia vizuri asijekuwa ndie Ana na Maryam lol.nshakwambia bana maryam mtoto mashallah nilikuwa nshakutana naye tayari kisha nikaendelea kumfukuzia Ana upo hapo? Kumbe Ana na maryam ni one n the same person.
mnanicheka sio?
Ilianza hivi,dada mmoja (tumwite Anna) alianza kuniletea viPM vya uchokozi,bishanga nikarespond,tukawa tuna chat. Wiki moja baadae nikapokea PM toka kwa mdada mwingine (tumwite Maryam) tena huyu akawa more straight akanililia shida nikamrushia m pesa. PM zikaendelea mwanawane,mwisho nikapanga ki date na Maryam,akaja,dah mtoto mashallah. Baada ya kufahamiana na maryam huku nyuma bishanga nikaendeleza libeneke na Anna.Jana ndo ilikuwa ki date na Anna pale msasani slipway. Niliwahi nikachukua meza nimekaa namsubiri,akiwa njiani tukawa tuna chat namwelekeza nilipokaa na nilivyovaa.Ghafla namwona Maryam,anatabasamu na kunirushia dongo,we bishanga kumbe hujatulia eh? Dah wacha niwe mdogo kama piriton!
Nimeapa sitongozi tena jf! Lakini na nyie kututega na multiple ID's ndo nini? Acheni hizo,hasa wewe......
Hakukosea huyo aliyekwambia hujatulia !
Hivi umeshasahau kama namie ushantongoza mara mbili, kwenye Id zangu zenye taswira ya kike ?
Usikome kiongozi ndo urijali huo .