Ramea
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 2,146
- 4,054
Pamoja na kwamba zao la korosho hutegemewa Sana na Wana kusini, lakini kumekuwa na desturi ya wakulima Kukodisha mikorosho yao kwa mwaka mmoja, miwili hadi mitatu.
Binafsi nimechukua shamba la mkulima fulani kwa miaka miwili, hivi karibuni nitaanza kuipalilia na mwezi wa 6 nianze kuipiga dawa. Hofu yangu ni hizi lockdown za mataifa makubwa, kweli watanunua korosho msimu ukiwadia? Hazitatuozea majumbani kweli. Najaribu kuwaza tu, maana nimesoma Uzi mmoja humu Kuna makampuni yapo mbioni kulazimisha kuwapa wafanyakazi wake likizo kutokana na kukosa malighafi toka nje kutengenezea bidhaa zao, ina maana meli na ndege zimesimamisha huduma nchi nyingi.
Je, korosho zitabebwa na nini? Na nani? Tutazifanyia nini sisi hapa Bongoland?
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi nimechukua shamba la mkulima fulani kwa miaka miwili, hivi karibuni nitaanza kuipalilia na mwezi wa 6 nianze kuipiga dawa. Hofu yangu ni hizi lockdown za mataifa makubwa, kweli watanunua korosho msimu ukiwadia? Hazitatuozea majumbani kweli. Najaribu kuwaza tu, maana nimesoma Uzi mmoja humu Kuna makampuni yapo mbioni kulazimisha kuwapa wafanyakazi wake likizo kutokana na kukosa malighafi toka nje kutengenezea bidhaa zao, ina maana meli na ndege zimesimamisha huduma nchi nyingi.
Je, korosho zitabebwa na nini? Na nani? Tutazifanyia nini sisi hapa Bongoland?
Sent using Jamii Forums mobile app