Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Bomu la lililotengenezwa kienyeji lenye uzito wa robo kilo, limekutwa kwenye shamba la moja la mikorosho katika kijiji cha Madimba kata ya Madimba mkoani Mtwara,na kuleta hofu kubwa kwa wakazi wa Kijiji hicho na vijiji jirani.
Chanzo: ITV channel
Chanzo: ITV channel