Nimekataliwa kisa kabila langu

Nimekataliwa kisa kabila langu

Curious Naturally

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2013
Posts
528
Reaction score
523
Hivi jamani kwa nini wadada wanabagua makabila wakati sisi tunataka tuoe jamani???
??
 

Attachments

  • 1453041476959.jpg
    1453041476959.jpg
    28.9 KB · Views: 63
Duuuuh. Mambo ya pm hayo

Kwani we kabila gani?
 
itakua jamaa msukuma.. haha.. (jokes)
 
Kuna makabila nouma..hatasishangaii.
 
Mimi bado nashangaa 2013

Swali la kwanza naulizwa wewe kabila gani!!

Kuna watu bado wanakimbatia ukabila
 
Mimi bado nashangaa 2013

Swali la kwanza naulizwa wewe kabila gani!!

Kuna watu bado wanakimbatia ukabila
We unayetaka kujua kabila langu ndio utakua Mkabila zaidi.

Kwasababu unataka kusadikisha maneno yangu na watu wote wa kabila langu. That's unfair...
Ni heri ungetaka kujua elimu yangu...
 
Hivi jamani kwa nini wadada wanabagua makabila wakati sisi tunataka tuoe jamani???
??
It sound like namfahamu huyu mdada kutokana na alivyojieleza kwenye thread yake ya kutafuta mume (Mr. Right) na jina lake analotumia aliwahi kuolewa na mhaya akaachwa within 1 year nafikiri ndo kisa cha kuchukia hilo kabila
 
Back
Top Bottom