Plot4Sale Nimekata tena viwanja 300M²-400M² karibu Sana Mwanza

Plot4Sale Nimekata tena viwanja 300M²-400M² karibu Sana Mwanza

Gumasa

Member
Joined
May 10, 2023
Posts
53
Reaction score
50
Kwa wale ambao bado wanahitaji maeneo kwa ajili ya kujenga makazi,karibu sana kwa mara nyingine.Viwanja vipo Kisesa Mikoroshoni.Kutoka Lami barabara ya Mwanza-Musoma ni shilingi 1000/= tu kwa pikipiki mpaka viwanja vilipo.

Bei ya kiwanja ni 1,700,000/= mpaka 2,000,000/= kutegemea na ukubwa wa kiwanja ulichopenda.

Kwa mawasiliano zaidi unaweza kunipigia hapa 0674 348 222 au unaweza kufika ofsini kwetu moja kwa moja,Kishili Mwanza.

Karibu Sana.
 

Attachments

  • VID-20260324-WA0005.mp4
    22.2 MB
  • VID-20260324-WA0006.mp4
    25 MB
Kwa wale ambao bado wanahitaji maeneo kwa ajili ya kujenga makazi,karibu sana kwa mara nyingine.Viwanja vipo Kisesa Mikoroshoni.Kutoka Lami barabara ya Mwanza-Musoma ni shilingi 1000/= tu kwa pikipiki mpaka viwanja vilipo.Bei ya kiwanja ni 1,700,000/= mpaka 2,000,000/= kutegemea na ukubwa wa kiwanja ulichopenda.
Kwa mawasiliano zaidi unaweza kunipigia hapa 0674 348 222 au unaweza kufika ofsini kwetu moja kwa moja,Kishili Mwanza.

Karibu Sana.
Wa TZ kwenye biashara za online ni weupe kabisa....Imagine unauza viwanja halafu hakuna picha hata moja wala maelezo ya kila kiwanja unavyouza....

Ebu jifunze kwenye oniline platforms uone wenzako wanavyouza.
 
Wa TZ kwenye biashara za online ni weupe kabisa....Imagine unauza viwanja halafu hakuna picha hata moja wala maelezo ya kila kiwanja unavyouza....

Ebu jifunze kwenye oniline platforms uone wenzako wanavyouza.
Ooh! Ahsante sana,nashukuru Sana kwa ushauri.Ndiyo naendelea kujifunza.Barikiwa Sana🙏🏼
 
Nimekuuliza kwa maana ya kwamba,wengine hutaka picha ya eneo iliyopigwa kawaida,ikionyesha uwanda mzima wa mazingira yake na wengine hutaka picha ya mchoro/ramani ya viwanja.
Weka zote,biashara matanganzo,picha nazo zinashawishi wateja.
 
Ninaendelea kuwakaribisha na ninashukru kwa wale mnaopiga simu na wale ambao tayari wameshafika kuona site zilipo na wale ambao tayari wameshalipia.
Nawahakikishia kuwa viwanja viko eneo zuri na kila anayefika hawezi lukwepa kununua kiwanja maana bei ni rafiki.Usafiri kwa ajili ya kutembelea site ni bure kabisa.
Kwa hiyo hata Kama una rafiki au ndugu anahitaji kiwanja Cha makazi wasiliana nami.
0674348222
 
Back
Top Bottom