Nimekata tamaa ya kuolewa

mtoto sio kigezo mwaya usikate tamaa..... amini nakwambia.

Mimi ntakuoa Ila usiendeleze ujinga ulikuwa nao ukichamba sana unashika mavi! niandikie SMS kwenye Simu hii +256 728 44 8159 najua utakuwa umeshika adabu na wanaume na hutafanya kosa. they say once bitten twice shy!
 
Mimi ntakuoa Ila usiendeleze ujinga ulikuwa nao ukichamba sana unashika mavi! niandikie SMS kwenye Simu hii +256 728 44 8159 najua utakuwa umeshika adabu na wanaume na hutafanya kosa. they say once bitten twice shy!

rafiki naona kama umekosea wa kumquote vilee! neema pita ndo alokata tamaa sio mimi..
 
Alomwambia mtoto ni kikwazo nani?????
Ni kikwazo kwa maana ya kuolewa na mtu ambaye hajazaa.

Mfano, mm kabla ya kuoa nlkuwa sina wazo la kuoa mwanamke mwny mtoto, nkiona mwanamke ana mtoto nlkuwa namtoa kwny mahesabu ya kuja kuish na mm. Na ndvy navyoamin mpk ss.

Hapo sn sn atakuja kuolewa na mtu mwny mtoto au watoto, ila kumpata mwanaume ambaye hana mtoto aje kumlelea mtoto wake, ni ngumu sana.
 
Hili tatizo ni la maelfu ya wasichana kama sio mamilioni. Ujinga wa kukubali kufanywa -----.

Ulaghai ni hulka ya binadam weengi, hasa wavulana, sasa ni muhim kwa mtu kutumia akili yako uliyopewa na MWENYEZI MUNGU kisawa sawa. Kutambua mbivu na mbichi.

Cha msingi kabisa cha kuandika kwa herufi kubwa kwenye ubongo ni kuwa usikubali kufanya mapenzi bila ya ndoa, kwa lugha nyingine huitwa uasherati au uzinifu.

Kaa upande wa Mungu na Mungu atakaa upande wako yaani usimuasi Mungu kwa aliyokuamrisha na kwa aliyokukataza.
 
Mpe pole na mlaumu kidogooo mwambie amejitunza kwa her own risk angekua amewavulia chupi wanaume wengi angebahatisha mmoja wa kumuoa ila alificha uchi huku akijua mficha uchi aolewi
 

Lakini ngono ni kiburudisho ambacho jinsia zote wanaitaji so soln labda kutumia condom
 
Wabongo kwa kupenda ndoa....aiseee keleuwiiiiiii
 
Natasha kaolewa na miaka 50+ alikuwa na mtoto na wajukuu 2 asikate tamaa mapema na asione huyo mtoto kama kikwazo as long as alikubali kuibeba mimba yake na kuzaa kwa uchungu hiyo ni baraka

umenena vema mkuu...!
wengi hawaelewi baraka za watoto..!
 
when one door is closed others may be open...dont give up keep on KNOCKIN...
 
usikate tamaa..kwan Mungu kukuumba mwanamke sio kwa bahati mbaya kwan ubavu wako upo
 


Aisee!!!!!

Soma uwezavyo,fight maisha uwezavyo,fanikiwa kwa kiwango utakachostahili,ukikosa ndoa ni dosari itakayokunyima amani mpaka unaingia kaburini.uwe mwanaume au mwanamke.
hakuna cha mwanamke wa kileo,ndoa ina heshima yake aisee.


Huyu cha kumshauri ni kuwa 28yrs +mtoto bado sio sababu itakayomfanya akose amani kiasi hicho,juzi nimetoka kula pilau ndoa ya wajane wa 45+watoto kila mmoja.yeye bado kinda saana.

Cha msingi atambue kuwa alikuwa anadate na mvulana sio mwanaume,asijari atakutana na mwanaume muda na saa yoyote.

Ajitambue na kujithamini kama mwanamke,aelekeze nguvu kwenye ujasiria mali,na kumtuza huyo tunu wake kama mama mlezi.atastaajabu.
 
Lakini ngono ni kiburudisho ambacho jinsia zote wanaitaji so soln labda kutumia condom
Naongelea kutofanya ngono kabla ya ndoa. Cha kushangaza saaaaaana ni baadhi ya watu kuona rahisi kuchovya/chovywa kuliko kuoa/kuolewa. kisingizio cha wasichana weeeengi ni kuwa "nilidanganywa".
Kama kweli ulidanganywa mara ya kwanza inakuwaje udanganywe tena na tena zaidi ya mara mia moja?
 
Hii haiko shauri musuri, inafaa iyo dada tumie kichwa yake menyewe.
 
tajuaje kama K iko vizuri nisubilie ndoa nikute mto nile takuacha test kwanga ikiwa k iko pouwa ndio mengine badaye
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…