Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,186
- 3,418
Hyo dada asikate tamaa mm mwenyewe nina miaka 30 lakn bado sijakata tamaa ya kuoa, ipo siku nitampata wa kumuoa
Alomwambia mtoto ni kikwazo nani?????
Usijali mwaya, wanaume mbona wengi acha panic kwanza na utulie halafu mwenyewe utaona.Wewe bado mbichi kabisa
Ney, jaribu kumumwelewesha rafika yako kuwa Ndoa ilikuwa kila ki2 kwa mwanamke zaman kwa sababu mama zetu hawakupata fursa ya kusoma sana ivo waliona kuolewa ndio heshima, lakin kwa sasa mambo ni tofauti, wanawake tunasona na kutafuta pesa sambamba na wanaume, ikiwa mwanamke ni mtafutaji wa kweli ndoa ni bonas tu ila kama anamashaka na maisha atalazimisha ndoa, mim simshauri kuhangaika kutaka kuolewa haraka kwa sababu ndoa ni ngumu sana, kila wana ndoa kumi ni moja ndio ina amani. ukweli aachane na mambo ya ndoa atulie afanye kazi kwa bidii na kumlea mtoto wake, mambo ya kujambiana kwenye shuka moja aachane nayo, ndoa za sasa ni karaha.
Mtoto ni kikwazo kikubwa usimdanganye mwenzio, wanaume wengi tunaogopa uwezekano wa yeye kuendelea kuwasiliana na baba mtoto co kwa nia mbaya bt kwaajiri ya kumjulia mtoto hali hapo ndo inapokua kasheshe. Usijidanganye wanaume ni watu wa kufikiria mbali sana. Ndo maana wazazi wetu wa zamani walikua wanakataza kufanya mapenzi kabla ya ndoa c tukajifanya ni wa .com, changamoto zote hiz ni kutokana na kujifanya wadadisi na wajuaji. Sisemi hawezi kuolea kwan kila mtu na bahati yake bati anakazi kweli kweli kumshawishi mwanaume na ajaribu kuwa muazi kwa wanaume kuwa anamtoto akificha ndo itakua balaa zaidi jamaa akijua maana hata km alitoa mahali anaweza akawasusia.
wewe chizi kweliHata mimi nimekata tamaa ya kuoa tena kumzidi yeye!
Lakini ipo tofauti, yeye akitulia, akaacha kupanic ni rahisi kuolewa hasa na wale waliokatika ndoa zao.
^^
Ney, jaribu kumumwelewesha rafika yako kuwa Ndoa ilikuwa kila ki2 kwa mwanamke zaman kwa sababu mama zetu hawakupata fursa ya kusoma sana ivo waliona kuolewa ndio heshima, lakin kwa sasa mambo ni tofauti, wanawake tunasona na kutafuta pesa sambamba na wanaume, ikiwa mwanamke ni mtafutaji wa kweli ndoa ni bonas tu ila kama anamashaka na maisha atalazimisha ndoa, mim simshauri kuhangaika kutaka kuolewa haraka kwa sababu ndoa ni ngumu sana, kila wana ndoa kumi ni moja ndio ina amani. ukweli aachane na mambo ya ndoa atulie afanye kazi kwa bidii na kumlea mtoto wake, mambo ya kujambiana kwenye shuka moja aachane nayo, ndoa za sasa ni karaha.
Nyie peaneni moyo tu, fanyeni ujinga wenu huko mpewe mimba mtegemee wanaume ni wengi. Me bado naamini km msichana atakua mgumu wa kutoa hadi ndoa, kwanza wanaume wengi wanapenda kupata bahati ya kuishi na mwanamke wa namna hiyo sema tu haiwezekani kwa kizaz hiki lakini km yupo namhakikishia kuolewa ni lazima. Wengi wao wanaolalamika hapa kuwa ni 30+ hawana sifa nzuri kila wanako kanyaga, Sio mtaani kwao, sio makazin wala sio vyuoni.
Ki ukweli wanaume kabla ya kuoa mwanamke anatamani hata kupata background kidogo ya binti kwa washkaji wanao mfahamu. Kuna mwingine kamaliza masela mtaani either kwa tamaa zake au shida zake. Mungu ni mwaminifu na hamtupi mja wake km ulijitahidi kujiheshimu lazima uolewe. Kuolewa sio siasa au sanaa kuwa utafanya ujanja uolewe, ni jinsi mwanaume atakavyo kusoma km ww ni msanii unaigiza au ni mwanamke kweli. Iliyobaki ni kuwashauri wadogozetu na kulea watoto kalika maadili mema na kuwaombea ili mambo yao yawe mazuri ukubwani.
Ndoa ndoano, mi nataka kumwacha mke wangu, nimekaa naye 17 yrs lakini rangi yake halisi ndyo naanza kuiona sasa. Jamani kama ingekuwa ni gari ya v8 niko tayari kubadilishana na power tiller!
Akiri mgando sana hizi,kwahiyo unahisi kutokuelewa ndo heshima ama unahisi unaweza kuifanya elimu ikawa mbadala wa ndoa ama unajaribu kujitia ukichaa wakati wewe ni mzima,ama unaasume mamaako aliolewa kwasababu alikosa elimu ama kwa sababu alipata mme wa kumwoa?
Ndoa ndoano, mi nataka kumwacha mke wangu, nimekaa naye 17 yrs lakini rangi yake halisi ndyo naanza kuiona sasa. Jamani kama ingekuwa ni gari ya v8 niko tayari kubadilishana na power tiller!
Aisee huyu mtu anaitaji ushauri
Nimekata tamaa ya kuolewa kabisa kwani niliedhan kuwa ndo mume wangu kanigeuka vibaya sana.
Umri wangu miaka 28 nimejitunza siku zote nikiamini na kumuomba mungu anipe mme mwema nimekua katika maadili ya kidini nimepoteza wachumba wengi baada ya kutofautiana yote ni baada ya kukataa kufanya mapenz kabla ya ndoa.
Mwaka jana nikapata mchumba tukatambulishana kwa wazazi alinionesha mapenz kiukwel mpaka nikashawishika kufanya mapenz kabla ya ndoa ( najutia sana) ikapelekea kupata ujauzito gafla mwenzangu ananiambia anamchumba doct mwenzie.
Kweli nimekata tamaa ya kuolewa kabisa
1. Umri unaenda tayar ninakikwazo mtoto wanaume wengi kuoa mwanamke mwenye mtoto ni kubahitisha. ukizingatia na umri mbaya... cjui inawezekana mungu hakunipangia kuolewa.
Ni baada ya kupotezana kwa muda mrefu na rafiki yangu leo tumekutana ndo ananipa story jinsi alivyo katamaa ya kuoelewa.
Ndoa ndoano, mi nataka kumwacha mke wangu, nimekaa naye 17 yrs lakini rangi yake halisi ndyo naanza kuiona sasa. Jamani kama ingekuwa ni gari ya v8 niko tayari kubadilishana na power tiller!
Sikujua km nyinyi pia mnakata tamaa ya kuoa.
ndoa ndoano, mi nataka kumwacha mke wangu, nimekaa naye 17 yrs lakini rangi yake halisi ndyo naanza kuiona sasa. Jamani kama ingekuwa ni gari ya v8 niko tayari kubadilishana na power tiller!